Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,363
- 31,504
Sasa tufanye nini zaidi ya kumuomba Mungu? Maana hiyo serikali na wahusika wa usafiri wa majini hawajifunzi kutokana na makosa ya nyuma. Hakuna juhudi zozote zinazochukuliwa za kuepusha au kupunguza madhara ajali hizi zitokeapo.Hivi kwa nin mnapenda kumuachia Mungu kila jambo? Hili nalo la kumuachia Mungu kweli? Alikupa Ufahamu na Utashi wa kazi gani?
Kwa namna hii umasikini utaisha Afrika kweli!?
Acha sisi waamini tubaki kumwomba Mungu atuepushie mbali na haya majanga hatuna namna nyingine.