Kamata LIKES za ODM!!!

mchina wangu made in kinshasa, hana LiKe.
Ila si unjua mie nakuLiKe kiukweli kweli.

Yale mambo yetu tutayagonganisha wakati kijana wa Bikira Maria akiwa anapaa mbinguni kwa babake. Tukigonganisha kwa sasa bado ana hasira ya kugongwa na misumari hachelewi kutuchenjia. Mbona hujanigongea asee?
 
Hahahaha........!

Naona umeanza kubadili tabia taratibu. Unatumia kinywaji gani?

Usimwogope kongosho, FYI huwa ananisaidia kwenye kugonganisha vinaniliyu vya wajukuu.

Come this way sasa.....:ballchain:
 
mchina wangu made in kinshasa, hana LiKe.
Ila si unjua mie nakuLiKe kiukweli kweli.
Afu leo tukamimine wapi maji haramu ili tuvigonganisha viwe vinaongea kiinglishi?
 
BT na ODM, mtahamia Kenya sasa hivi, mkabadili tabia za wagombea wa ODM.

Mtachezeanaje hadharani? Naona mnatafuta shambulio la aibu?
 
Leo roho inaumaa jamani.

Hivi BT amekuwa hivi lini?????

Kunichakachulia ODM wetu!!

ODM, kwa hii nyumba ndogo yetu ina hela?

Hahahaha........!

Naona umeanza kubadili tabia taratibu. Unatumia kinywaji gani?

Usimwogope kongosho, FYI huwa ananisaidia kwenye kugonganisha vinaniliyu vya wajukuu.

Come this way sasa.....:ballchain:
 
Leo roho inaumaa jamani.

Hivi BT amekuwa hivi lini?????

Kunichakachulia ODM wetu!!

ODM, kwa hii nyumba ndogo yetu ina hela?
Ngoja nimuulize kwa PM.

Hivi akisema hana tumfanye nini?
 
BT na ODM, mtahamia Kenya sasa hivi, mkabadili tabia za wagombea wa ODM.

Mtachezeanaje hadharani? Naona mnatafuta shambulio la aibu?
Hivi umeanza kukosa imani na mimi kuanzia lini. Kongosho ni asali ya ODM. Vingine sukari tu.

fyatanga, pale kwa nyuma kuna gesti hausi.
Ile ina kunguni afu vitanda vyake vinapiga kelele sana. Afu kwa umri wetu huu yanini tukagonganishie geshti haushi wakati kuna vikwangua anga vya aja kibao?
 
Babu ODM shikamo msacha hiki kimeo like ipo kimgongomgongo
Yaani sredi nzima nimeambila LIKE mbili tu wakati mimi nimezimimina zaidi ya mia.

Watu wachoyo kama kikojoleo cha Pope.
 
Habari zenu wakubwa mie nawasalimu tuuuu... dada Kongosho upo? kaka Rejao Canta hajambo? Babu ODM ulipata salamu zangu za pasaka? Hi CAnta?
 

shikamoo babu ODM
 
Habari zenu wakubwa mie nawasalimu tuuuu... dada Kongosho upo? kaka Rejao Canta hajambo? Babu ODM ulipata salamu zangu za pasaka? Hi CAnta?
Sijapata mkuu.......... Ilikuwa shingapi vile? We ni mtu muhimu sana si unajua Those who bring sunshine into the lives of others, cannot keep it from themselves.

Ooops! file not found server..
Bonyeza Ctrl + Alt + Del
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…