siku hizi kila mwanamke mjini ana wowowo na mguu wa bia softiiii;
Nasikia kuna dawa wanatumia zimeingia za kichina, je? hazina madhara? kama zina madhara zimepita wapi? TFDA na police hizo promo huko instagram hawazioni?
kama hazina madhara niambieni nami nikampake mke wangu hata usiku wa manane akiwa amelala!!
Maoni yenu wadau!!!
cc#ummy mwalimu
Nasikia kuna dawa wanatumia zimeingia za kichina, je? hazina madhara? kama zina madhara zimepita wapi? TFDA na police hizo promo huko instagram hawazioni?
kama hazina madhara niambieni nami nikampake mke wangu hata usiku wa manane akiwa amelala!!
Maoni yenu wadau!!!
cc#ummy mwalimu