Ndiyo wasema hovyo wote wamepewa vyeo
Nape Nnauye...goli la mkono.
Kapewa uwaziri.
Abdalla Bulembo ...wapinzani tutawapa vyote lkn siyo ikulu.
Mwanaye kapewa viti maalum
Makonda.....alimtusi mzee Warioba na kumpiga vibao.
Amepewa u-DC.
Among Mpanju ....alimshambulia sana Lowassa wakati wa kampeni kwa Maneno yasiyokuwa na staha
Kapewa unaibu KATIBU mkuu wa wizara ya katiba na sharia.
Hiyo ndiyo ccm.
Naomba mifano mingine kama ipo
Nape Nnauye...goli la mkono.
Kapewa uwaziri.
Abdalla Bulembo ...wapinzani tutawapa vyote lkn siyo ikulu.
Mwanaye kapewa viti maalum
Makonda.....alimtusi mzee Warioba na kumpiga vibao.
Amepewa u-DC.
Among Mpanju ....alimshambulia sana Lowassa wakati wa kampeni kwa Maneno yasiyokuwa na staha
Kapewa unaibu KATIBU mkuu wa wizara ya katiba na sharia.
Hiyo ndiyo ccm.
Naomba mifano mingine kama ipo