Kama watumishi wa serikali za mitaa walio chini ya Mkurugenzi ambae ni mteule wa rais ndio wasimamizi wa uchaguzi , uchaguzi hauwezi kuwa huru

Kama watumishi wa serikali za mitaa walio chini ya Mkurugenzi ambae ni mteule wa rais ndio wasimamizi wa uchaguzi , uchaguzi hauwezi kuwa huru

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
7,170
Reaction score
8,622
Yaani hawa maafisa wa haashauri ambao wote kwa mujibu wa kanuni za utumishi wa umma wanatakiwa kuwa watiifu kwa serikali iliyopo madarakani. Uchaguzi hauwezi kuwa huru na wa haki

Tunahitaji katiba mpya ambayo kutakuwa na watu huru kabisa. Sio hawa walioteuliwa na INEC wakati kanuni za utumishi zinawataka wawe watiifu kwa serikali iliyopo madarakani.
 
Mkiambiwa reforms ni lazima watu waelimike na wakubali kuelewa
 
Wajinga watakwenda kuwachagua viongozi wajinga
 
Back
Top Bottom