johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,961
- 141,959
Tangu Chadema wabadili gia hewani na kumleta mgombea wa " kimkakati" hapa kinondoni, pamezuka mjadala mpana miongoni mwa wanaccm. Binafsi najiuliza, kwani muda hauruhusu kulirejea zoezi la kura za maoni ili pasiwepo wa kumtupia lawama baada ya uchaguzi kama jahazi litaenda mrama?........Ni mimi mwanenu Yohana, usiku mwema!