Kama unamiliki simu ulishaugua NoMoPhoBia

Kama unamiliki simu ulishaugua NoMoPhoBia

nyumbamungu

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2017
Posts
1,034
Reaction score
900
NoMoPhoBia ni jina jipya la Ugonjwa lililopatikana baada ya kupigiwa Kura na moja ya chuo kikuu nchini Marekani, kisa na mkasa kufikia maamuzi hayo. Huwa wanautaratibu wakupigia kwa Misamiati mipya kila mwisho wa mwaka ili waiweke kwenye Dictionary yao, ndio wakapendekeza NoMoPhoBia lipigiwe kura na likaibuka na ushindi.

NoMoPhoBia humtokea nani? Wao wanaita ugonjwa lakini tafsiri nzuri ni hali inayomtokea mtumiaji wa Simu, Tablet, au Pad mara tu anapogundua hana kifaa chake iwe ameisahau kwenye gari, ofisini, nyumbani, au popote pale.

Kwa hiyo ile hali inayompata mtu
 
Hii kitu iko kwa matumizi ya simu zaidi....
sio tu kusahau simu mahali, hata ile hali ya kuhisi betri inaisha na hauko karibu kuchaji.....
Woga unaompta mtu pale anapohisi hatakuwepo kwenye mawasiliano kwa mda.....

Vile vile utumiaji wa simu kupitiliza, mpaka unaona bila simu huwezi kufanya kitu...tayari unakuwa umeangukia kwenye hili kundi.....
 
Hiyo mimi hainihusu naweza acha simu mbagala kwa makusudi nikaenda kubarizi bagamoyo
 
Hii kitu iko kwa matumizi ya simu zaidi....
sio tu kusahau simu mahali, hata ile hali ya kuhisi betri inaisha na hauko karibu kuchaji.....
Woga unaompta mtu pale anapohisi hatukuwepo kwenye mawasiliano kwa mda.....

Vile vile utumiaji wa simu kupitiliza, mpaka unaona bila simu huwezi kufanya kitu...tayari unakuwa umeangukia kwenye hili kundi.....


Note zangu sijui nilipoziweka, Nikumbushe neno NoMoPhoBia limepatikanaje?
 
Hii kitu iko kwa matumizi ya simu zaidi....
sio tu kusahau simu mahali, hata ile hali ya kuhisi betri inaisha na hauko karibu kuchaji.....
Woga unaompta mtu pale anapohisi hatukuwepo kwenye mawasiliano kwa mda.....

Vile vile utumiaji wa simu kupitiliza, mpaka unaona bila simu huwezi kufanya kitu...tayari unakuwa umeangukia kwenye hili kundi.....
Yaani betri ikikaribia kuisha kiwewe kinachoanza!
 
Back
Top Bottom