Tofauti kati ya:
DRY
Inapanda fasta kichwani pia inaisha fasta
Inaleta apetite ya msosi,kujiskia kula kula
Inaleta njaa..Ukinywa maji inakata fasta..
Harufu ya mmea inabaki mwilini/vidoleni na kwenye nguo
MIXER
Inapanda mdogo mdogo ila inakaa muda mrefu kichwani inachelewa kuisha..
Kichwa kinatulia,umakini na concetration
Vinaongezeka
Harufu ya mmea inamezwa na Kali ya kwenye mixer
Ukishushia na Ubalozi/Embasy utamu unafika hadi kisogoni
All in all hii ni kwa mujibu wa uzoefu wangu kazini ila sasa ni mtumishi mstaafu
#KayaForLife
#LegaliseIt