Nyanda Banka JF-Expert Member Joined Mar 14, 2023 Posts 330 Reaction score 1,244 Jun 12, 2024 #1 Jamaa siku yao ya kwanza ya ndoa wakiwa kitandani akamuuliza mkewe "Una uhakika mimi ndiye mwanaume wa kwanza kulala nawe?" Mke akajibu "Ndiyo honey, wengine wote ilikuwa hatulali ni shughuli tu mpaka asubuhi". Bwana harusi kazimia
Jamaa siku yao ya kwanza ya ndoa wakiwa kitandani akamuuliza mkewe "Una uhakika mimi ndiye mwanaume wa kwanza kulala nawe?" Mke akajibu "Ndiyo honey, wengine wote ilikuwa hatulali ni shughuli tu mpaka asubuhi". Bwana harusi kazimia
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 47,284 Reaction score 130,415 Jun 12, 2024 #2 Nyashi halijawahi kufeli naona apo kamanda analitumia kupimia shabaha😁😁
D Dume Jembe JF-Expert Member Joined Apr 25, 2024 Posts 707 Reaction score 768 Jun 12, 2024 #3 Litakuwa jini siyo mtu
Nyanda Banka JF-Expert Member Joined Mar 14, 2023 Posts 330 Reaction score 1,244 Jun 12, 2024 Thread starter #4 min -me said: Nyashi halijawahi kufeli naona apo kamanda analitumia kupimia shabaha😁😁 Click to expand... Uhakika
min -me said: Nyashi halijawahi kufeli naona apo kamanda analitumia kupimia shabaha😁😁 Click to expand... Uhakika
Mbogo Jr Member Joined Jun 6, 2024 Posts 25 Reaction score 40 Jun 12, 2024 #5 Kuna Wengne Wana Big Nyashi Za Kulengea Shabaha
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 45,106 Reaction score 111,761 Jun 12, 2024 #6 Kwamba mumewe kazi haiwezi
geesten66 JF-Expert Member Joined Sep 14, 2017 Posts 2,311 Reaction score 2,889 Jun 12, 2024 #7 Demu mwenyewe ndiyo uyo Alie bong'oa hapo na uyo kamanda ndiyo mume mwenyewe au.
EMMYGUY JF-Expert Member Joined Aug 6, 2015 Posts 11,115 Reaction score 25,414 Jun 12, 2024 #8 Kwani jamaa aliona bikra ya mkewe huyo kabla hajamuuliza hilo swali?!