Ibada fanya nyumbani kwako, kanisani wewe ni fursa kwa wajanja.Ungejua neno la Mungu.. ungefuta maneno yako.. omba toba.. mwenda kanisani kwa malengo mengine.. ndiwo wewe moja wapo..
unamtishia nani nyau?Mimi huwa nakereka sana katikati ya ibada inasimama kwaya kuimba mwishoni wanaanza kucheza style ya Mayele kwa kupiga mikono na kutetema, hicho kitendo ni cha kipuuzi sana!
Kwanza mnajua huwa anamaanisha nini? Au kila mtu aje na style ya mchezaji anayempenda tucheze kanisani?
Tuheshimu ibada, mwambieni Mayele awakataze mashabiki zake kabla hakijamkuta cha kumkuta!
Na mm nitaenda piaKanisa litakalo Anza kushangilia style ile ya wahuni wa mafyati aka mbeya city mnistue nikasali hapo.
Mimi huwa nakereka sana katikati ya ibada inasimama kwaya kuimba mwishoni wanaanza kucheza style ya Mayele kwa kupiga mikono na kutetema, hicho kitendo ni cha kipuuzi sana!
Kwanza mnajua huwa anamaanisha nini? Au kila mtu aje na style ya mchezaji anayempenda tucheze kanisani?
Tuheshimu ibada, mwambieni Mayele awakataze mashabiki zake kabla hakijamkuta cha kumkuta!
Kanisa litakalo Anza kushangilia style ile ya wahuni wa mafyati aka mbeya city mnistue nikasali hapo.
Mbona kwa shetani mnatoaYaani hadi Leo unapeleka sadaka Kwa wasaliti ambao wanakula na mafisadi
Ni ibada ya kuzimu lakiniKutetema pia ni ibada tunaomba makanisa yote yaanze hii ibada haraka
Ila ukweli utabaki palepale kwamba dini haimwingizi mtu mbinguni sasa usifikiri ukisema hivyo basi kuna mbadala, hakuna.Duuuuuuu!!¡! Dini ya kikristu bwana inashangaza sana,akija mchezaji mwingne na style nyingne wataimba kwa style hiyo.Ndugu yangu zinduka hiyo sio dini ,hicho ni kikundi cha wauuni wanakutana na kuwashawishi watu wapeleke sadaka ili wakazipige.
Nenda usabatoni, huko wanaimba wamenyooka kama mti, hakuna make Wala manjonjo
Simple: ukiona kanisa la aina hiyo basi hao ni wajasiriamali na siyo kanisa. Siku hizi inabidi kuwa makini ili uweze kutofautisha kati ya kanisa na utapeli. Kwa taarifa yako matapeli wengi wamehamia nyumba za ibada kwani wanajua huko ndiko rahisi kutapeli.Mimi huwa nakereka sana katikati ya ibada inasimama kwaya kuimba mwishoni wanaanza kucheza style ya Mayele kwa kupiga mikono na kutetema, hicho kitendo ni cha kipuuzi sana!
Kwanza mnajua huwa anamaanisha nini? Au kila mtu aje na style ya mchezaji anayempenda tucheze kanisani?
Tuheshimu ibada, mwambieni Mayele awakataze mashabiki zake kabla hakijamkuta cha kumkuta!
Tetema uote sumu mwiliniHilo kanisa gani wanafanya mambo ya kijinga hivyo?
Ningekuwa mimi muumini wao ningehama kabisa, bora nisalie nyumbani.