Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,088
- 2,705
Naamini kwa hapa Africa mashariki sisi tunajipambanua kama Taifa ambalo limemaliza ukabila au halijagawanyika kimisingi ya ukabil.!Hasa ukilinganisha na nchi kama Kenya, na Rwanda au wengineo!! Tumeunganishwa na kiswahili
Lakini cha ajabu ukienda hospitali unavoandikishwa una ulizwa kabila lako!!
Ukilala lodge au gesti kwene daftar/kitabu cha wageni kuna sehemu ya kabila la mteja na unaulizwa!!
Naelewa kistatistic itakua na umuhimu fulani lakin sidhan kama inaumuhimu kuliko kuwaleta watanzania pamoja!!
Je, hakuna namna ya kukusanya hizo taarifa kwa namna nyingine? Kwann isifike mahali mtu akiulizwa aseme “mimi n mtanzania fullstop!”
Naombeni kujua!!
Lakini cha ajabu ukienda hospitali unavoandikishwa una ulizwa kabila lako!!
Ukilala lodge au gesti kwene daftar/kitabu cha wageni kuna sehemu ya kabila la mteja na unaulizwa!!
Naelewa kistatistic itakua na umuhimu fulani lakin sidhan kama inaumuhimu kuliko kuwaleta watanzania pamoja!!
Je, hakuna namna ya kukusanya hizo taarifa kwa namna nyingine? Kwann isifike mahali mtu akiulizwa aseme “mimi n mtanzania fullstop!”
Naombeni kujua!!