johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Ningependa FaizaFoxy, THE BIG SHOW, The Boss na Pohamba mnielimishe kwa kutulia kabisa Uhusiano wa Waislamu na Wayahudi
Naelewa hata mtume Muhammad SAW alipotaka kupaa mbinguni ilibidi aletwe na jibirii hadi Yerusalemu na Siyo Madina au Makka
Na hata makaburi ya Mayahudi na Waislamu yako katika Shamba la babu yake Yakobo ( Israel) yaani Nabii Ibrahim baba wa Imani
Nawaalika wote wenye uelewa wa jambo hili tuelimishane siku Hizi za mwisho
Nawatakia Dominica Njema 😄
Naelewa hata mtume Muhammad SAW alipotaka kupaa mbinguni ilibidi aletwe na jibirii hadi Yerusalemu na Siyo Madina au Makka
Na hata makaburi ya Mayahudi na Waislamu yako katika Shamba la babu yake Yakobo ( Israel) yaani Nabii Ibrahim baba wa Imani
Nawaalika wote wenye uelewa wa jambo hili tuelimishane siku Hizi za mwisho
Nawatakia Dominica Njema 😄