Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Wabongo tumeshikia bango ofisi za TANESCO ambazo kimtazamo angalau zipo mbali na Barabara kiasi kwamba haziathiri shughuli mbalimbali. Mbona Hamshikii bango jengo la millenium towers lililopo kijitonyama karibu na Break Point? Hili jengo mbali na kuingia barabarani, lipo kwenye eneo la wazi! eneo hillo ni kwa ajili ya bustani za kupumzikia watu wanaotembelea kijiji cha makumbusho.
JE, HILO GHOROFA ZUUURI LIENDE CHINI? KUNA JINGINE LINAENDELA KUJENGWA LITAKUWA NA REFU SANA, JE, NALO LIPIGWE STOP?
Toa maoni................
JE, HILO GHOROFA ZUUURI LIENDE CHINI? KUNA JINGINE LINAENDELA KUJENGWA LITAKUWA NA REFU SANA, JE, NALO LIPIGWE STOP?
Toa maoni................