Zipi hizo?
Hiyo yawezekana kuwa ilikuwa ni kauli yao binafsi Wazee kama si ya kwake binafsi msemaji(Mzee Akilimali) lkn nia yetu wana'yanga wengi wetu ni kuona sasa "Kilaza" Nchunga anakaa pembeni pale tunamweka mtu mwingine makini zaidi atayeweza kutufanya turudishe heshima zetu kwenye secta hii ya soka, full stop (.)
Acha hizo,kama yanga wangechukua ubingwa,na huku wana madeni, nchunga mngemtoa madarakani?
Na kwanini hoja ya kumtoa nchunga ilianzia kwenye mechi na simba,does it wangeifunga wangepata pointi zaid ya 3.
Kama anayosema akilimali ni yake binafsi,tutaprove vipi?
Narudia tena,kauli(kama walitoa) ya kwamba songombingo lote lililoanzishwa ni kwaajili ya kumkomoa Nchunga ilikuwa ni ya kwao(Wazee) sisi kama Yanga (kumbuka mimi ni Mwanachama) tulikuwa tunafanya yote hayo kwaajili ya kuinusuru team,bila Nchunga kung'oka pale pangeendelea kuchimbika.
Na nikuhabarishe tu kampeni ya kumuondoa Nchunga haijasababishwa na mechi na Simba,lilianza pale tulipopoteza point 3 za Coastal plus wachezaji kutokulipwa mishahara na posho zao kwa wakati,na likachochewa zaidi na kipigo cha Simba,kwa hayo ilikuwa lazima a'go...tunashukuru MUNGU Nchunga ametambua hitaji letu na kuamua kutuachia team yetu,kwahiyo kama unampenda sana unaweza kwenda kujiunga naye mkaanzisha team yenu.
Narudia tena,kauli(kama walitoa) ya kwamba songombingo lote lililoanzishwa ni kwaajili ya kumkomoa Nchunga ilikuwa ni ya kwao(Wazee) sisi kama Yanga (kumbuka mimi ni Mwanachama) tulikuwa tunafanya yote hayo kwaajili ya kuinusuru team,bila Nchunga kung'oka pale pangeendelea kuchimbika.
Na nikuhabarishe tu kampeni ya kumuondoa Nchunga haijasababishwa na mechi na Simba,lilianza pale tulipopoteza point 3 za Coastal plus wachezaji kutokulipwa mishahara na posho zao kwa wakati,na likachochewa zaidi na kipigo cha Simba,kwa hayo ilikuwa lazima a'go...tunashukuru MUNGU Nchunga ametambua hitaji letu na kuamua kutuachia team yetu,kwahiyo kama unampenda sana unaweza kwenda kujiunga naye mkaanzisha team yenu.
Swala la kumpenda hapa halipo swala ni kuwa na hoja ya kutaka kumtoa na pia kufanya maamuzi kwa maslahi ya club na sio vinginevyo. Ukiwa kama mwanachama hakikisha unawaelimisha wanachama wenzio kufikiri kabla ya kutenda na kuwa na mantiki ya kutenda na pia kuwa na mtu mmoja wa kuongea kwa niaba ya club na sio kila mtu kuongea. Vilevile ingekuwa ilikuwa ni kauli yao kama wazee nyinyi wanachama wengine mlitakiwa kupinga mara moja lili kusafisha club kwa washabiki na wanahci kwa ujumla.
timu zetu hazitafika mbali kwa staili hii kwa sababu kubwa mmoja tunashindwa kabisa kujipanga na kuendesha timu kwa umoja bila kutegemea wafadhili . hebu fikiria ugekuwepo mpango kila mwanachama wa yanga akichangia sh 1000 kwa mwaka nadhani yanga haitateteleaka lakini sasa uongozi uliopo madarakani ukipishana kidogo na wenye pesa manji basi kazi imeisha jama anafunga koki mwenyekiti utafanya nini mishahara ya wachezaji inaaza kuwa shida na madeni mengine yanaanza kuwa kibao huku mwekezaji anaanza kusema pembeni bila kumtoa huyo siweki pesa yangu na sisi vijana na wazee bila kutafakari tunashabikia bila kujali hata katiba sababu ya kitu kidogo mzuguko mwingine unaanza na huyu atakayepatikana akipishana tu na mwenye pesa mambo yanakuwa ni yaleyale