Kama docs za Muungano Hazipo sasa Je?

Kama docs za Muungano Hazipo sasa Je?

njamayo

Senior Member
Joined
Jan 6, 2012
Posts
150
Reaction score
42
WanaJF,

Nimekuwa najiuliza kuwa kama hizi nyaraka za Muungano hazipo na imekuwa mazingaombwe kuzitoa hata kwa shuguli mhimu kama ya kuandika kwa katiba mpya, JE ZANZIBAR ikijitoa kwenye huu Muungano, itakuwaje?. Je Tanganyika itaenda wapi kushitaki kuwa Zanzibar imevunja Muungano ambao hata nyaraka hazipo? Aaafu hizi nyaraka mbona inaonekana ni kuwa kama vile zilikuwa za upande mmoja tu yaani Tanganyika, na Zanzibar hawakupewa chochote.. Hebu nisaidieni nyie wanaJF ktk hili.
 
Hapo hakuna muungano Bali Tanganyika imeikalia Znz kimabavu huu ndo ukweli Wenyewe na kwanini hati za muungano hazionekani hapa hakuna muungano ipo haja Ya kuitwa kura Ya maoni kuulizwa watu na kama kuishtaki ni Znz ndio itaishtaki Tanganyika kwa kuipa mafao kdg na kutokuwalipa pesa za kuvunjika kwa muungano wa nchi za Afrika mashariki hapo ndo patamu
 
Kwa miaka 50 tulikuwa tunaenda kirafiki tu sio official. Nadhani ndio sababu ilopelekea kuujadili muungano ikawa si ruhusa.

Kumbe vile kumeibuka mengi.
 
WanaJF,

Nimekuwa najiuliza kuwa kama hizi nyaraka za Muungano hazipo na imekuwa mazingaombwe kuzitoa hata kwa shuguli mhimu kama ya kuandika kwa katiba mpya, JE ZANZIBAR ikijitoa kwenye huu Muungano, itakuwaje?. Je Tanganyika itaenda wapi kushitaki kuwa Zanzibar imevunja Muungano ambao hata nyaraka hazipo? Aaafu hizi nyaraka mbona inaonekana ni kuwa kama vile zilikuwa za upande mmoja tu yaani Tanganyika, na Zanzibar hawakupewa chochote.. Hebu nisaidieni nyie wanaJF ktk hili.
yaelekea muungano wetu ilikuwa wa makubaliano ya mdomo,kwa hali hiyo zanzibar kwa kutangaza kwamba ni nchi muungano umevujika,kwa maana nyingine ulikuwa muungano wa mdomoni na umevunjika kwa maneno ya mdomoni kilichobakia ni mahusiano tu,mazuri kati yetu na Zanzibar lakini muungano hakuna
 
kwa iyo ni kama vile walitaka zanzibar imezwe na Tanganyika ila sasa wameshtukia vile.. ngoja tuone km waZanzibar watamezwa na katiba mpyaa..

yaelekea muungano wetu ilikuwa wa makubaliano ya mdomo,kwa hali hiyo zanzibar kwa kutangaza kwamba ni nchi muungano umevujika,kwa maana nyingine ulikuwa muungano wa mdomoni na umevunjika kwa maneno ya mdomoni kilichobakia ni mahusiano tu,mazuri kati yetu na Zanzibar lakini muungano hakuna
 
Back
Top Bottom