Kalenga yatabiri anguko la CCM 2015


Wamerudi nyuma tutawafanyia flanking attack, Mungu yuko pamoja na jeshi lake
 
Watanzania wa leo si wa miaka ya 80! Hawadanganyiki kwa pilau wala kanga.....si unacheki mwenyewe!......chopa 3 kata 3!
 

tete teeh te! te! kwi ikw kwii kwii! mbaaaavu!mbaaaavu! mbaaav zangu jamani!
 
Tunaomba daftari kudumu la wapiga kura liboreshwe, ndo utajua nguvu ya magamba
 
Watanzania wa leo si wa miaka ya 80! Hawadanganyiki kwa pilau wala kanga.....si unacheki mwenyewe!......chopa 3 kata 3!
kweli kabisa fundisho zuri inawezesha watu kujua kilo ngapi za sukari ,chumvi ,kanga na t-shirt ngapi zinatumika na kwa jinsi hiyo hawawezi kuachia wakala bila kunawa lazima wakabwe
 
CCM wameshindwa KUZINDUA kampeni leo, eti wanasubiria mpaka Chris Lukosi afike kwani ndio mgeni rasmi wao........
Huyu huyu anaesemekana kula pesa ya mjane au mwingine? Hahaha wanachekesha sana.


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mliosema Waziri wa fedha Mgimwa mzigo msikanyage Kalenga,tuacheni wenye kuchagua mzigo tulete paka wetu Cdm afukuze panya,hatuchagui rangi ya paka.Kamanda Grace kaza buti Jimbo ni lako.Peeeeples! ubwabwa CCM kura CDM.
 
Aliekuwa Waziri wa fedha Dr William Mgimwa alikuwa mmoja wa mawaziri mizigo according to Nape na Kinana
 
gongo utaacha lini kunywa?
 
That's so true...in vita to ndio chadema wanaijua..,wapunguze .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…