Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,046
Wana Bukoba na zaidi wa manispaa ya Bukoba tumeishampa kwaheri (mpao) Kagasheki. Ni jambo la kushangaza leo hii sisi waendesha pikipiki tunaonekana wa maana ili hali Kagasheki ulisimama bungeni na kusema bodaboda si ajira. Leo hii unatuona sisi lulu kwako kwa kutupa bendera na mafuta ili tukuunge mkono. Hapana kabisa hela tumechukua na mafuta lkn kula hamna.
Bukoba tulikua na kiwanda cha BUKOP kilitoa ajira leo hii miaka 15 akifanyi kazi na unatuambie eti ajira
Tangu Kagasheki uende bungeni uajawai ata kulisemea la meri tuliopewa ahadi ilihali unajua kua meri ilitupa ajira kibao.KAGASHEKI KWAHERI TUNAMTUMA LWAKATARE MTETEZI WETU.
Bukoba tulikua na kiwanda cha BUKOP kilitoa ajira leo hii miaka 15 akifanyi kazi na unatuambie eti ajira
Tangu Kagasheki uende bungeni uajawai ata kulisemea la meri tuliopewa ahadi ilihali unajua kua meri ilitupa ajira kibao.KAGASHEKI KWAHERI TUNAMTUMA LWAKATARE MTETEZI WETU.