ok jamaa kutoka rwanda walienda urusi kusoma akakutana na mdada kutoka rwanda wakaoana na wote ni madaktari..ila walishindwa kurudi nyumbani kwa sababu ya ile vita na sas hivi wanalima huko urusi kwenye baridi kali wanafuga mbuzi ...na walishindwa kupata kazi yoyoe kuhusu walichosomea kumbuka hawa wote waligraduate udaktari specialist,,.....damn!!!!