Kafunga lakini anataka nikamdinye

huu ni mwez mtukufu mkuu..usiku na mchana huruhusiwi kufanya maovu yoyote.
Mpotezee uyo mkuu!
isipokua kwa wanandoa tu.. wao wanaruhusiwa usiku tu kupeana haki yao ya msingi katika mwezu huu
 
Are Are you alright??
 

Twende tukamfanye basi
 
WEWE MGALATIA LENGO LAKO NI KUDHALILISHA UZU WA AINA HII KILA MWAKA UNAKUJA HAPA NA KWA BAHATI MBAYA JF KUNA KAUPENDELEO FLANI
LKN KWA NINI USINGEANZA NA MAMA YAKO KWANZA AU KWA KUWA YEYE HAFUNGI????
 
ahahahah mkuu thread gani hiyo na mimi nikaisome shetani kavaa kaptura??
 
Hahaha

Smart boy
 
katika kitu najivunia basi nikuona nimeinspire mtu ata mmoja kujiunga katika forum yetu pendwa iliyojaa kila Aina ya elimu, Vichekesho na udugu wa kusaidiana.
Ni bandiko gani hilo zero jamaa analolizungumzia???

Smart guy
 
Astaghfirullah!!, imebidi niishie kucheka tu na kustaajabu... Funga ni kujizuia na mambo mengi sio kula tu mchana,
 
WEWE MGALATIA LENGO LAKO NI KUDHALILISHA UZU WA AINA HII KILA MWAKA UNAKUJA HAPA NA KWA BAHATI MBAYA JF KUNA KAUPENDELEO FLANI
LKN KWA NINI USINGEANZA NA MAMA YAKO KWANZA AU KWA KUWA YEYE HAFUNGI????
Una IQ ya aina gani mkuu wewe mwarabu wa bongo kama umeshindwa ata kujua content ya uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…