Kabati la mninga JIPYA linauzwa

Kabati la mninga JIPYA linauzwa

Joined
Aug 9, 2016
Posts
22
Reaction score
5
Habari.

Nauza kabati la mninga futi 6 kwa 6, linapatikana barabara ya 6 dodoma kwa shilingi 850000. Nitafute kwa namba 0764858251 au 0769109661.
 

Attachments

  • 1475312568916.jpg
    1475312568916.jpg
    89.3 KB · Views: 722
Habari.

Nauza kabati la mninga futi 6 kwa 6, linapatikana barabara ya 6 dodoma kwa shilingi 850000. Nitafute kwa namba 0764858251 au 0769109661.
Mbona baya hivyo unajua mbao hapo Kondoa zinapatikana kwa elfu kumi kwa mbao sasa si bora ninunue mbao zangu nitengeneze kabati langu la kisasa kabisa kuliko kuchukua huo mjerumani wa mwaka 1954. Asante mdau lakini si kwa hiyoi bei kama upo tayari nikutumie laki moja chap
 
Kanunue mbao mia halafu ukija me nazinunua kwa elfu 20 each and i will pay u in cash.
 
Mbona baya hivyo unajua mbao hapo Kondoa zinapatikana kwa elfu kumi kwa mbao sasa si bora ninunue mbao zangu nitengeneze kabati langu la kisasa kabisa kuliko kuchukua huo mjerumani wa mwaka 1954. Asante mdau lakini si kwa hiyoi bei kama upo tayari nikutumie laki moja chap
Kanunue mbao mia huko kondoa ukija me nazinunua kila moja elfu 20. Afu uwe mninga. [HASHTAG]#hujielwi[/HASHTAG]
 
Usitoe povu Hilo kabati kwa hiyo bei utasubiri sana ukizingatia Kuna za mchina tena zenye muonekano Mzuri kuliko hilo lako, mbao ya muninga isiwe sababu ya kuuza bei ghali.
Mkuu kila mtu na taste yake. Mimi ningekuwa ninashida ya kabati la mninga ukubwa huo 700,000 nampa.

Usifananishe mninga na takataka za maranda ya mbao za kichina.
 
Mbao za Mninga na mkongo zinaheshima yake bana...
 
Mbona baya hivyo unajua mbao hapo Kondoa zinapatikana kwa elfu kumi kwa mbao sasa si bora ninunue mbao zangu nitengeneze kabati langu la kisasa kabisa kuliko kuchukua huo mjerumani wa mwaka 1954. Asante mdau lakini si kwa hiyoi bei kama upo tayari nikutumie laki moja chap
Hahahaaa umepiga uraiani. ..
 
Uliposikia watu wanahamia Dodoma kwa njaa zako ukaamua utoe ndani kabati la shemeji yako aliesafiri ili uje kuwauzia bei kubwa watu wa Dar sio,labda PM ndio utamuuzia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom