mkuu unajua tayari umefanya kosa la jinai? kwa nini usikamatwe ili iwe fundisho kwa wengine? au mnafikiri watu JW hawafiki mitandaoni? mbona polisi mnawaheshimu hamuwezi kutoa taarifa yoyote ya uzushi dhidi yao au kwa kuwa sometimes wanawasaka wahalifu humu humu mitandaoni?
Jirekebishe kabla hujarekebishwa