JUVENTUS FC kuingia Nusu Fainali UEFA Leo Usiku,kuungana na Real Madrid na Atletico Madrid

MLAU

JF-Expert Member
Aug 23, 2007
4,726
3,363
Leo usiku huu saa 3:45 usiku Juventus wanaungana na Real Madrid na Atletico Madrid nusu fainali ya Uefa Champion League kwa kumtoa Barcelona.

Hakuna cha Mess wala Pique.
 
Eeh, maburuda tupo. Lakini pale camp nou sidhani kama tutabaki salama. Tukibaki lazima tulale na viatu.

FT Barcelona 5-1 Juventus
 
jaman wale mashabiki wa juve wa ukweli na wa kukodi karibuni kwenye uzi wa juve
tunalisongosha huko
fino alla fine foreza regaziii
 
Leo usiku huu saa 3:45 usiku Juventus wanaungana na Real Madrid na Atletico Madrid nusu fainali ya Uefa Champion League kwa kumtoa Barcelona.

Hakuna cha Mess wala Pique.
Kwa hakika imekua hivyo. Huwez kuruhusu goli 3 bila utegemee miujiza. Hiyo haipo,waliwaotea hao hao PSG
 
Hakika nimempenda, ukileta ujuaji ni njano tuu
Hajatoa njano nyingi ila amemudu mchezo ingawaje barca walitaka kumtoa mchezo kwa kumsukuma,kumsema,kumwamrisha atoe kadi na alipotoa onyo Kali kwa wachezaji kama wawili hivi wa Barca wengine wakaona mmmh hapa ukifanya mchezo unawezalimwa red mapema
 
Hajatoa njano nyingi ila amemudu mchezo ingawaje barca walitaka kumtoa mchezo kwa kumsukuma,kumsema,kumwamrisha atoe kadi na alipotoa onyo Kali kwa wachezaji kama wawili hivi wa Barca wengine wakaona mmmh hapa ukifanya mchezo unawezalimwa red mapema
Now you speak...
 
Back
Top Bottom