Unamasihara upige picha upeleke wapi? Ya nini?
1. Je ulitaka kuteka gari
2. Ulitaka kuliiba unalitafutia soko
3. Unataka kumdhuru mwenye nalo
4. Unataka kumuuwa dereva
5. Unataka kumuuwa mkurugenzi wa TISS
6. Umetumwa na magaidi uwape picha
7. Umetumwa na chama chako umuuwe
8. Umetumwa na adui zake wamuuwe
9. Upo Kenney kundi la ugaidi au genge la kuteka watu.
10. Umetumwa na nani hasa
Huyu dogo namwonea hutuma maana kesi hii itamchukua muda sana kuipambania
Sent from my SM-J110H using
JamiiForums mobile app