jumba linauzwa kariakoo

jumba linauzwa kariakoo

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,712
Reaction score
14,113
la ghorofa 4
vibali vinaruhusu ujenzi mpaka 7
bei....pm
mtaa...pm
picha....pm
dalali....pm
 
bei....pm-poapoa mbona
mtaa...pm-popote mtakapoliona
picha....pm-picha mbaya
dalali....pm-pawale matapeli

natanguliza shukrani

duh..... Una kipaji
 
Ingekuwa Vizuri ungetu PM hii sredi member wote kuliko kuianzisha halafu unaweka maswali ya msingi yote yawe PM.
 
Mie ni mtu kati hili jumba ni la jamaa walikuwa nje ya nchi sasa , ndo maana details nataka mni pm ili watu kati tusiwe wengi,manake mie si dalali nafta rizki. Pm.2day dont worry just pm and pm and pm is simple to pm ,pm,pm basi pm.
 
Mie ni mtu kati hili jumba ni la jamaa walikuwa nje ya nchi sasa , ndo maana details nataka mni pm ili watu kati tusiwe wengi,manake mie si dalali nafta rizki. Pm.2day dont worry just pm and pm and pm is simple to pm ,pm,pm basi pm.

Wewe umeshasema floor 4 kariakoo, hebu taja bei sasa watu wajipime ili mtu anapokupigia ana uhakika. Hizo information peke yake sidhani kama zitakuharibia ulaji, otherwise watu watahisi wew tapeli, hivyo ndiyo jf huwa inafanya kazi!
 
Mie ni mtu kati hili jumba ni la jamaa walikuwa nje ya nchi sasa , ndo maana details nataka mni pm ili watu kati tusiwe wengi,manake mie si dalali nafta rizki. Pm.2day dont worry just pm and pm and pm is simple to pm ,pm,pm basi pm.

sema japo bei na mtaa mimi ninaihitaji, fanya hivyo tumalize biashara sasa hivi :mod:
 
haya waungwana wahusika wameni fahamisha leo kwamba nitoe details jengo liko mtaa wa livingstone/opposite na mahali wanapouza maji ya uhai kwa wingi jengo lina dula la kubadilishia fedha la ekenywa.
haya sasa watu kati na madalali tusiwe wengi just pm for siriaz buyer/dila.ok?
bei 3.7 bil na inapoa document zote zipo.
hope to hear from you soon.
regards
mwalalauli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom