Jumba Lenye Underground Linauzwa bei chee.

galaxy68

Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
41
Reaction score
0
Wana JF kitu kizuri share na Jamaa zako,
Jumba kubwa la kisasa (halijapauliwa)lenye underground Garage,M/bed room na sitting room au chumba cha mazoezi gym ya kisasa linauzwa bei ya kutupa View attachment 49364 Tshs 65 mil tu,lipo Kimara stopover -Michungwani,eneo lake lina ukubwa approx sqm 950,kuna M/bed room 3 ukubwa 5mtrx6mtr ziko juu,kuna bed room ya kawaida ya 4x5 iko juu,kuna sitting room ya 7x6mtrs iko juu,kuna dinning room ya 4x5mtr iko juu,kuna jiko,public toilets,bathroom,stoo na study room viko juu.
Kuhusu hati, gharama zote za upimaji zimeshalipwa so its on process lakini documents nyingine za umiliki wa eneo zipo.
kwa yeyote mwenye interest tuwasiliane kwa cell # 0754 364 363/0719
757 700
View attachment 49366 View attachment 49365
 
mie nimelipenda,sina hela....nani anihonge jamani,lol
 
mkuu nina 40 million,ambazo i hope Nyani Ngabu atanikopesha.....
 
mkali umelitia njonjo.... ...kumbe cheche ..!!!!:mvutaji:
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…