Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,098
- 324
Jumba hilo lipo Mbezi Juu si mbali toka barabara iendayo Bagamoyo.
Jumba halijakamilika.
Upande wa mashariki wa jengo hilo una nyumba tatu ambapo kila nyumba ina chumba cha kulala chenye choo na sehemu ya makabati, jiko na sebure pamoja na choo cha wageni. Upande wa mashariki pia, una nyumba tatu ambapo kila moja ina chumba cha kulala chenye sehemu ya choo na sebure pamoja na choo cha wageni.
Nyumba zote za upande wa mashariki zina balcon.
Ukiwa katika nyumba mbili za juu unaitazama bahari ya Hindi vizuri na kuupata upepo mwanana kiasi kwamba uhitaji hewa ya fan wala Ac 24/7
Jumba limejengwa katika kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 1094. Kiwanja kina Hati Miliki
Bei Tshs 220mil. Maongezi yapo.
Mawasiliano kwa whatsapp na kupiga 0784225000.
kutazama nyumba nyingine zilizopo sokoni bofya hapa: www.kitomai.com