DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Waziri wa Maji na Mbunge wa Pangani Mhe. Jumaa Aweso amechukua na kurejesha fomu ya kugombea tena Ubunge wa jimbo la Pangani mkoani Tanga kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Fomu hiyo iliokabidhiwa na kupokelewa baada ya kurejeshwa na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Pangani, Abdul Swala.
Fomu hiyo iliokabidhiwa na kupokelewa baada ya kurejeshwa na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Pangani, Abdul Swala.