Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Naibu Katibu Mkuu wa CUF -- Julius mtatitiro -- uko wapi katika show hii kababambe inayoendelea baina ya wapigania haki na wkandamizaji? Tunajuwa wazi wewe ni mpiganaji -- tangu Chuoni, lakini ulikwenda chama mfu kwa sababu tu ya ahadi ya cheo na pesa.
Ulifanya miscalculations kubwa sana -- Ungekwenda CDM na kugombea ubunge Kinondoni hakika ungemwonyesha mlango wa kutokea lile gamba lisilokuwa na tija kwa taifa hili -- Idi Azzan.
Bado unaweza kufanya uamuzi mgumu. I know moyo wako uko wapi maana ktk CUF inakubidi kukaa kimya, maana kamwe hulka yako na historia yako haiko katika kutetea uchafu.
Ulifanya miscalculations kubwa sana -- Ungekwenda CDM na kugombea ubunge Kinondoni hakika ungemwonyesha mlango wa kutokea lile gamba lisilokuwa na tija kwa taifa hili -- Idi Azzan.
Bado unaweza kufanya uamuzi mgumu. I know moyo wako uko wapi maana ktk CUF inakubidi kukaa kimya, maana kamwe hulka yako na historia yako haiko katika kutetea uchafu.