Tatizo huyu Maestro anapokuwa anatangaza anashindwa kubalance interest kitndo cha kuwa kiongozi wa club kubwa hapa nchini ilitakiwa aache kutangaza kipindi cha michezo clouds sababu hiyo ni Radio huru kama utagundua ana ka unazi fulani...halafu juzi anadiliki kuongelea mgogoro wa Simba akiwa mtangazaji kiongozi wa kipindi wakati yeye ni mjumbe wa kamati ya utendaji iliyomtoa RAGE (conflict of interest) tena hoja zake ni za kutetea maamuzi yao na cha kushangaza zaidi Shaffii Dauda akawa anatoa hoja kuchallenge Maestro kwa kutojua na akamwambia shaffii naomba unichukulie mimi wa hapa clouds...HOPELESS kabisa inawezekanaje wakati tayari ana maslahi kwenye hiyo ishu, ushauri wangu Clouds wampe kipindi kingine au aache kazi.