Jukwaa Zuri na la Kipekee JF Ni Hili.....

Jukwaa Zuri na la Kipekee JF Ni Hili.....

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
61,211
Reaction score
99,971
Kwanza kabisa niseme wazi, sijakosea kuweka habari hii mahali hapa. Nimefanya hivi kwasababu nataka na wengine wakisome kile ninachokitaka wakisome. Jukwaa zuri la JF ni Jukwaa la Kikubwa tu; Sifa zake ni hizi zifuatazo;
  • Ni stress free zone
  • Hakuna BAN
  • Huingii bila ruhusa - lina heshima ya pekee
  • Limesheni Picha na video za maana
  • hakuna kutukanana
  • Halitumii Lugha ya picha bali uhalisia wa mambo tu
  • Members wake wote wamebalehe -kimawazo na kimtazamo
  • Halina majungu wala unafiki
  • Kuna practicals za kutosha
  • Hamuulizani eti Ulijiunga lini au wewe bado m'bichi
  • wale wa[piga kelele kwenye majukwaa mengine kule hawaruhusiwi
  • Hakuna kukopana wala kutishiana kuwa wewe ni mambo safi
  • LINA AGENDA MOJA TU
  • nYIngine ongeza mwenyewe kama uliwahi kufika
Yaani ukienda kule ukaboreka basi wewe hata Facebook hapakufai, LAKINI BE WARNED MAPEMA KABISAAAA, ukienda kwenye kijiji hiki ati ati ya kurudi uraiani ni ndogo sana sana maana member wengi wamepotelea huko. Big Up JF kutujengea Kijiji hiki. Siwakaribishi
 
Sifa za kujiunga kwenye hicho kijiji ni zipi?
 
Sasa kama siri hazitolewi ww umekuja kunadi ilo jukwaa uku kwann? Uyo Invisible anakufunguria bila kumwomba?
 
Niko chomboni rightnow so hadi NISIMAMISHE ndo nichangie .
 
Back
Top Bottom