Walimu wa kiswahili wanahitajika 184 walio omba ajira ni Zaidi ya 28000, usaili ukipita na kuwapata walimu wa kiswahili 184, walio faulu usaili na kuweka kwenye database watakua wengi na walio kosa wataomba tena je Kuna haja gani Kwa TCU kutoa dirisha kila mwaka kwa wanafunzi kufanya application za ualimu wa kiswahili na masomo mengine ya sanaa
AJIRA UALIMU - AJIRA PORTAL.
ZINGATIA SAANA OTHERWISE HUTAFANGA USAILI.
WALIOITWA USAILI VS WANAOITAJIA KADA YA UALIMU
1. Daraja la IIIA (Awali)= 20/2024
2. IIIA = 2851/15,640
3. IIIA (Maalum)=13/225
Daraja la IIIB
1. Geography= 175/2878
2. Kemia = 488/3551
3. Bios = 505/3173
4. Tehama = 59/399
5. Awali = 15/846
6. Kiswahili = 142/2400
7. Msingi = 464/2351
8. Civics = 59/ 419
9. History = 152/2269
10. Physics = 740/1513
11. B/maths = 663/1919
12. English = 390/1548
13. Literature = 65/36
14. French = 2/4
15. Bookping =24/75
16. Agriculture = 29/215
17. Commerce = 23/79
18. Maalum = 7/13
19. Food & Nutrition = 2/34
20. Textile = 2/ 4
Generally
Wanaoitajika 11,015
Walioitwa usahili 176,054
AJIRA UALIMU - AJIRA PORTAL
ZINGATIA SANA OTHERWISE HUTOFANYA USAILI.
WANAOHITAJIKA KADA YA UALIMU VS WALIOITWA USAILI
Daraja la IIIC
1. Kiswahili = 184/28,202
2. Geography = 310/26,770
3. History = 211/21,407
4. Literature = 64/7,489
5. English = 412/15,225
6. Bios = 515/11,837
7. Economics = 16/2,698
8. Tehama = 33/1160
9. Agriculture = 31/546
10. Msingi = 37/975
11. Kemia = 544/9891
12. Maalum = 3/ 1011
13. Civics = 46/1622
14. Physics = 633/ 865
15. B/maths = 662/2033
16. Bookping = 19/589
17. French = 3/77
18. Commerce = 22/845
19. Lab Technician = 380/1197
Generally
Wanaoitajika 11,015
Walioitwa usahili 176,054
Swali lingine mfumo umetoa nafasi kwa muombaji kuomba mkoa anaoutaka mwaombaji tena mfumo unaruhusu kuchagua masomo tofauti kwenye mikoa tofauti kwa mfumo huu serikali itakua na kazi kubwa sana kuwafanyia usaili mara mbili kwa mtu mmoja kwa mikoa tofauti walio omba ni Zaidi ya 760000 tufanye nusu ya waombaji fafanye usaili mara mbili kwa mikoa tofauti
Ushauri wangu mfumo usifanye specification ya masomo kama una masomo mawili basi kwa vile mfumo unahitaji ufanye attachment ya vyeti vyako basi hakuna haja ya kuomba kazi kwa somo flani kwa mkoa flani Bali tuombe kazi tu kwavile taarifa zetu tumeziattach mfumo wenyewe utupangie mikoa na somo la kufundisha
AJIRA UALIMU - AJIRA PORTAL.
ZINGATIA SAANA OTHERWISE HUTAFANGA USAILI.
WALIOITWA USAILI VS WANAOITAJIA KADA YA UALIMU
1. Daraja la IIIA (Awali)= 20/2024
2. IIIA = 2851/15,640
3. IIIA (Maalum)=13/225
Daraja la IIIB
1. Geography= 175/2878
2. Kemia = 488/3551
3. Bios = 505/3173
4. Tehama = 59/399
5. Awali = 15/846
6. Kiswahili = 142/2400
7. Msingi = 464/2351
8. Civics = 59/ 419
9. History = 152/2269
10. Physics = 740/1513
11. B/maths = 663/1919
12. English = 390/1548
13. Literature = 65/36
14. French = 2/4
15. Bookping =24/75
16. Agriculture = 29/215
17. Commerce = 23/79
18. Maalum = 7/13
19. Food & Nutrition = 2/34
20. Textile = 2/ 4
Generally
Wanaoitajika 11,015
Walioitwa usahili 176,054
AJIRA UALIMU - AJIRA PORTAL
ZINGATIA SANA OTHERWISE HUTOFANYA USAILI.
WANAOHITAJIKA KADA YA UALIMU VS WALIOITWA USAILI
Daraja la IIIC
1. Kiswahili = 184/28,202
2. Geography = 310/26,770
3. History = 211/21,407
4. Literature = 64/7,489
5. English = 412/15,225
6. Bios = 515/11,837
7. Economics = 16/2,698
8. Tehama = 33/1160
9. Agriculture = 31/546
10. Msingi = 37/975
11. Kemia = 544/9891
12. Maalum = 3/ 1011
13. Civics = 46/1622
14. Physics = 633/ 865
15. B/maths = 662/2033
16. Bookping = 19/589
17. French = 3/77
18. Commerce = 22/845
19. Lab Technician = 380/1197
Generally
Wanaoitajika 11,015
Walioitwa usahili 176,054
Swali lingine mfumo umetoa nafasi kwa muombaji kuomba mkoa anaoutaka mwaombaji tena mfumo unaruhusu kuchagua masomo tofauti kwenye mikoa tofauti kwa mfumo huu serikali itakua na kazi kubwa sana kuwafanyia usaili mara mbili kwa mtu mmoja kwa mikoa tofauti walio omba ni Zaidi ya 760000 tufanye nusu ya waombaji fafanye usaili mara mbili kwa mikoa tofauti
Ushauri wangu mfumo usifanye specification ya masomo kama una masomo mawili basi kwa vile mfumo unahitaji ufanye attachment ya vyeti vyako basi hakuna haja ya kuomba kazi kwa somo flani kwa mkoa flani Bali tuombe kazi tu kwavile taarifa zetu tumeziattach mfumo wenyewe utupangie mikoa na somo la kufundisha