Jua litachomoza Magharibi

Maria Nyedetse

JF-Expert Member
Apr 24, 2021
657
1,485
𝐓𝐇𝐄 𝐒𝐔𝐍 π–πˆπ‹π‹ π‘πˆπ’π„ 𝐈𝐍 𝐓𝐇𝐄 𝐖𝐄𝐒𝐓

Ndiyo, Jua kuchomoza Magharibi by CYPHER SMITH ROWE

Kwa Muslims hii ni Mojawapo ya Hadith Mtume Muhammad(pbuh) aliisema Karne ya 7.

Nitaenda Haraka kwenye point. Kuna Dalili Kubwa Kumi za Siku ya Kiama Kukaribia.

Tano Kati ya hizo ni Cosmic in Nature, Na Tano ni za Kawaida. Kati ya hizo 5 za Cosmic Mojawapo ni Jua kuchomoza Magharib.

Wengi tunafahamu Jua huchomoza Mashariki. Ila Siku hii litachomokea Magharib.

Kwa tunaofatilia Astrophysics na Geophysics,
Tuna Theory inayosema kuwa, Dunia mwanzoni ilikuwa inakamilisha mzunguko mmoja kwa Masaa 4.

Ikawa inapungua speed mpaka kuja kufikia Masaa 23 na Dakika 56s na Sekunde 4. Na inaaminika Dunia itashindwa kusapoti kupungua huku kwa speed na kufikia point haitoweza kustahimili.

Na hapo Dunia kutokana na Mass yake itabehave kama Spring(wengi tunaijua spring) kwamba itafika point itasimama na Kuforce Kurudi nyuma kuikataa force iliyokuwa inaisukuma kwenda mbele na kutaka Kurudi nyuma sasa.

Hudhaif ibn Yaman anasimulia Mtume alivyosema β€œMausiku mawili yatafatana na watu wataamka na kukuta Usiku wa mwanzo umeisha na mwengine umeingia wataogopa na watagundua Jua halijachomoza Usiku mwengine unaingia na wataona Jua linachomoza lakini Siku hii litachomoza Magharib”

Kinachotokea hapo juu Dunia inabadilika muelekeo kutoka kushoto kwenda kulia na itaanza kutoka Kulia kwenda kushoto na Ndio Jua litaonekana Likitokea Magharibi.

Na Hapo Ndiyo Kiama Kitakuwa kimefika Hakuna Toba Itakubaliwa and after this ni Matetemeko Matatu Makubwa yatafatana.

This is The Day in a Nutshell Wanangu.
Nifollow kwa Habari zaidi.

Hii kuna mtu ameiandika TWITTER a lot aitwa CYPHER SMUTH ROWE nikaona siyo mbaya to share here for a detailed discussion
 
Mitume waliongea mara zingine lugha za mafumbo (allegoric language) ,alipoongea hivyo kuwa jua litabadili mwelekeo,hakumaanisha jua kama jua phisically,alikuwa na maana nyingine za kiroho,ambazo inabidi uwe mwanadhuoni Ili uweze kutafsiri,kama tunao hapa jamvini tuwaite waje kutafsiri hilo fumbo la mtume.
 
𝐓𝐇𝐄 𝐒𝐔𝐍 π–πˆπ‹π‹ π‘πˆπ’π„ 𝐈𝐍 𝐓𝐇𝐄 𝐖𝐄𝐒𝐓

Ndiyo, Jua kuchomoza Magharibi by CYPHER SMITH ROWE

Kwa Muslims hii ni Mojawapo ya Hadith Mtume Muhammad(pbuh) aliisema Karne ya 7.

Nitaenda Haraka kwenye point. Kuna Dalili Kubwa Kumi za Siku ya Kiama Kukaribia.

Tano Kati ya hizo ni Cosmic in Nature, Na Tano ni za Kawaida. Kati ya hizo 5 za Cosmic Mojawapo ni Jua kuchomoza Magharib.

Wengi tunafahamu Jua huchomoza Mashariki. Ila Siku hii litachomokea Magharib.

Kwa tunaofatilia Astrophysics na Geophysics,
Tuna Theory inayosema kuwa, Dunia mwanzoni ilikuwa inakamilisha mzunguko mmoja kwa Masaa 4.

Ikawa inapungua speed mpaka kuja kufikia Masaa 23 na Dakika 56s na Sekunde 4. Na inaaminika Dunia itashindwa kusapoti kupungua huku kwa speed na kufikia point haitoweza kustahimili.

Na hapo Dunia kutokana na Mass yake itabehave kama Spring(wengi tunaijua spring) kwamba itafika point itasimama na Kuforce Kurudi nyuma kuikataa force iliyokuwa inaisukuma kwenda mbele na kutaka Kurudi nyuma sasa.

Hudhaif ibn Yaman anasimulia Mtume alivyosema β€œMausiku mawili yatafatana na watu wataamka na kukuta Usiku wa mwanzo umeisha na mwengine umeingia wataogopa na watagundua Jua halijachomoza Usiku mwengine unaingia na wataona Jua linachomoza lakini Siku hii litachomoza Magharib”

Kinachotokea hapo juu Dunia inabadilika muelekeo kutoka kushoto kwenda kulia na itaanza kutoka Kulia kwenda kushoto na Ndio Jua litaonekana Likitokea Magharibi.

Na Hapo Ndiyo Kiama Kitakuwa kimefika Hakuna Toba Itakubaliwa and after this ni Matetemeko Matatu Makubwa yatafatana.

This is The Day in a Nutshell Wanangu.
Nifollow kwa Habari zaidi.

Hii kuna mtu ameiandika TWITTER a lot aitwa CYPHER SMUTH ROWE nikaona siyo mbaya to share here for a detailed discussion
Allah na Muhammad wamesema jua ndio linatembea, anzia apa kuelezea
 
𝐓𝐇𝐄 𝐒𝐔𝐍 π–πˆπ‹π‹ π‘πˆπ’π„ 𝐈𝐍 𝐓𝐇𝐄 𝐖𝐄𝐒𝐓

Ndiyo, Jua kuchomoza Magharibi by CYPHER SMITH ROWE

Kwa Muslims hii ni Mojawapo ya Hadith Mtume Muhammad(pbuh) aliisema Karne ya 7.

Nitaenda Haraka kwenye point. Kuna Dalili Kubwa Kumi za Siku ya Kiama Kukaribia.

Tano Kati ya hizo ni Cosmic in Nature, Na Tano ni za Kawaida. Kati ya hizo 5 za Cosmic Mojawapo ni Jua kuchomoza Magharib.

Wengi tunafahamu Jua huchomoza Mashariki. Ila Siku hii litachomokea Magharib.

Kwa tunaofatilia Astrophysics na Geophysics,
Tuna Theory inayosema kuwa, Dunia mwanzoni ilikuwa inakamilisha mzunguko mmoja kwa Masaa 4.

Ikawa inapungua speed mpaka kuja kufikia Masaa 23 na Dakika 56s na Sekunde 4. Na inaaminika Dunia itashindwa kusapoti kupungua huku kwa speed na kufikia point haitoweza kustahimili.

Na hapo Dunia kutokana na Mass yake itabehave kama Spring(wengi tunaijua spring) kwamba itafika point itasimama na Kuforce Kurudi nyuma kuikataa force iliyokuwa inaisukuma kwenda mbele na kutaka Kurudi nyuma sasa.

Hudhaif ibn Yaman anasimulia Mtume alivyosema β€œMausiku mawili yatafatana na watu wataamka na kukuta Usiku wa mwanzo umeisha na mwengine umeingia wataogopa na watagundua Jua halijachomoza Usiku mwengine unaingia na wataona Jua linachomoza lakini Siku hii litachomoza Magharib”

Kinachotokea hapo juu Dunia inabadilika muelekeo kutoka kushoto kwenda kulia na itaanza kutoka Kulia kwenda kushoto na Ndio Jua litaonekana Likitokea Magharibi.

Na Hapo Ndiyo Kiama Kitakuwa kimefika Hakuna Toba Itakubaliwa and after this ni Matetemeko Matatu Makubwa yatafatana.

This is The Day in a Nutshell Wanangu.
Nifollow kwa Habari zaidi.

Hii kuna mtu ameiandika TWITTER a lot aitwa CYPHER SMUTH ROWE nikaona siyo mbaya to share here for a detailed discussion
Hapa MNYEZI MUNGU mwemedi (a.k.a mvaa kipedo mkuu) alisema akiwa kashiba futari na yawezekana alikuwa amejilaza kwenye nyonyo za katoto alikokuwa anakabaka ( Modi bwana).
 
Hapa MNYEZI MUNGU mwemedi (a.k.a mvaa kipedo mkuu) alisema akiwa kashiba futari na yawezekana alikuwa amejilaza kwenye nyonyo za katoto alikokuwa anakabaka ( Modi bwana).
HII VITA SASA
 
Hapa MNYEZI MUNGU mwemedi (a.k.a mvaa kipedo mkuu) alisema akiwa kashiba futari na yawezekana alikuwa amejilaza kwenye nyonyo za katoto alikokuwa anakabaka ( Modi bwana).
Mola Mlezi hawaongoi watu MADHALIMU

Ongea yako yaonesha WAZI aina ya MOYO ulionao......

Mwanadamu asiyekuwa na STAHA hata katika kuongea kwake BASI amechagua njia MBOVU kabisa
 
𝐓𝐇𝐄 𝐒𝐔𝐍 π–πˆπ‹π‹ π‘πˆπ’π„ 𝐈𝐍 𝐓𝐇𝐄 𝐖𝐄𝐒𝐓

Ndiyo, Jua kuchomoza Magharibi by CYPHER SMITH ROWE

Kwa Muslims hii ni Mojawapo ya Hadith Mtume Muhammad(pbuh) aliisema Karne ya 7.

Nitaenda Haraka kwenye point. Kuna Dalili Kubwa Kumi za Siku ya Kiama Kukaribia.

Tano Kati ya hizo ni Cosmic in Nature, Na Tano ni za Kawaida. Kati ya hizo 5 za Cosmic Mojawapo ni Jua kuchomoza Magharib.

Wengi tunafahamu Jua huchomoza Mashariki. Ila Siku hii litachomokea Magharib.

Kwa tunaofatilia Astrophysics na Geophysics,
Tuna Theory inayosema kuwa, Dunia mwanzoni ilikuwa inakamilisha mzunguko mmoja kwa Masaa 4.

Ikawa inapungua speed mpaka kuja kufikia Masaa 23 na Dakika 56s na Sekunde 4. Na inaaminika Dunia itashindwa kusapoti kupungua huku kwa speed na kufikia point haitoweza kustahimili.

Na hapo Dunia kutokana na Mass yake itabehave kama Spring(wengi tunaijua spring) kwamba itafika point itasimama na Kuforce Kurudi nyuma kuikataa force iliyokuwa inaisukuma kwenda mbele na kutaka Kurudi nyuma sasa.

Hudhaif ibn Yaman anasimulia Mtume alivyosema β€œMausiku mawili yatafatana na watu wataamka na kukuta Usiku wa mwanzo umeisha na mwengine umeingia wataogopa na watagundua Jua halijachomoza Usiku mwengine unaingia na wataona Jua linachomoza lakini Siku hii litachomoza Magharib”

Kinachotokea hapo juu Dunia inabadilika muelekeo kutoka kushoto kwenda kulia na itaanza kutoka Kulia kwenda kushoto na Ndio Jua litaonekana Likitokea Magharibi.

Na Hapo Ndiyo Kiama Kitakuwa kimefika Hakuna Toba Itakubaliwa and after this ni Matetemeko Matatu Makubwa yatafatana.

This is The Day in a Nutshell Wanangu.
Nifollow kwa Habari zaidi.

Hii kuna mtu ameiandika TWITTER a lot aitwa CYPHER SMUTH ROWE nikaona siyo mbaya to share here for a detailed discussion
Waarabu wanakudanganya na wew unaingia upepo ahhhahh acha uoga wewe. Hakuna cha kiama wala nn utakufa na dunia utaiacha
 
Mtume Rehema na amani ziwe juu yake HAKUWA ILA NI MUONYAJI WA WAZI KABISA....

Katika vyote hivi kuna dalili za UWEPO WA ALLAH ila hawafahamu isipokuwa wachache...
Kwa maelezo ya Allah na Muhammad wanaosema jua ndio linatembea na tusipo liona linakuwa limeenda kusujudu

Uzi wako umefia apo
 
𝐓𝐇𝐄 𝐒𝐔𝐍 π–πˆπ‹π‹ π‘πˆπ’π„ 𝐈𝐍 𝐓𝐇𝐄 𝐖𝐄𝐒𝐓

Ndiyo, Jua kuchomoza Magharibi by CYPHER SMITH ROWE

Kwa Muslims hii ni Mojawapo ya Hadith Mtume Muhammad(pbuh) aliisema Karne ya 7.

Nitaenda Haraka kwenye point. Kuna Dalili Kubwa Kumi za Siku ya Kiama Kukaribia.

Tano Kati ya hizo ni Cosmic in Nature, Na Tano ni za Kawaida. Kati ya hizo 5 za Cosmic Mojawapo ni Jua kuchomoza Magharib.

Wengi tunafahamu Jua huchomoza Mashariki. Ila Siku hii litachomokea Magharib.

Kwa tunaofatilia Astrophysics na Geophysics,
Tuna Theory inayosema kuwa, Dunia mwanzoni ilikuwa inakamilisha mzunguko mmoja kwa Masaa 4.

Ikawa inapungua speed mpaka kuja kufikia Masaa 23 na Dakika 56s na Sekunde 4. Na inaaminika Dunia itashindwa kusapoti kupungua huku kwa speed na kufikia point haitoweza kustahimili.

Na hapo Dunia kutokana na Mass yake itabehave kama Spring(wengi tunaijua spring) kwamba itafika point itasimama na Kuforce Kurudi nyuma kuikataa force iliyokuwa inaisukuma kwenda mbele na kutaka Kurudi nyuma sasa.

Hudhaif ibn Yaman anasimulia Mtume alivyosema β€œMausiku mawili yatafatana na watu wataamka na kukuta Usiku wa mwanzo umeisha na mwengine umeingia wataogopa na watagundua Jua halijachomoza Usiku mwengine unaingia na wataona Jua linachomoza lakini Siku hii litachomoza Magharib”

Kinachotokea hapo juu Dunia inabadilika muelekeo kutoka kushoto kwenda kulia na itaanza kutoka Kulia kwenda kushoto na Ndio Jua litaonekana Likitokea Magharibi.

Na Hapo Ndiyo Kiama Kitakuwa kimefika Hakuna Toba Itakubaliwa and after this ni Matetemeko Matatu Makubwa yatafatana.

This is The Day in a Nutshell Wanangu.
Nifollow kwa Habari zaidi.

Hii kuna mtu ameiandika TWITTER a lot aitwa CYPHER SMUTH ROWE nikaona siyo mbaya to share here for a detailed discussion
Soma maelezo ya Muhammad na Allah alafu andika Uzi upya ukitilia mkazo dini Yako inavyoelezea kuhusi jua

Imesimuliwa Abu Dharr:
Wakati mmoja nilikuwa na Nabii (ο·Ί) msikitini wakati wa jua. Nabii (ο·Ί) akasema, "Ewe Abu Dharr! Je! Unajua jua linatua wapi?" Nilimjibu, "Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua vyema." Alisema, "linakwenda na kusujudu chini ya kiti cha enzi cha (cha Mwenyezi Mungu) allah,
Vol. 6, Book 60, Hadith 326
 
Mitume waliongea mara zingine lugha za mafumbo (allegoric language) ,alipoongea hivyo kuwa jua litabadili mwelekeo,hakumaanisha jua kama jua phisically,alikuwa na maana nyingine za kiroho,ambazo inabidi uwe mwanadhuoni Ili uweze kutafsiri,kama tunao hapa jamvini tuwaite waje kutafsiri hilo fumbo la mtume.

Hakuna cha fumbo ni jua litachomoka Uko kama alivosema
 
Back
Top Bottom