Josephh Mbilinyi (Sugu): Makonda akapimwe kwa mkemia mkuu wa serikali

Status
Not open for further replies.

illestEl

Member
Feb 6, 2017
53
41
Ni mambo mazito na ya muhimu sana aliyoayaongea Mbunge Sugu bungeni naona pongezi. Lakini ka msingi zaidi ni kwamba shutuma sio kitu kibaya kumshutumu mtu kwa kosa lakini mpaka unafikia hatua ya kuitwa polisi na kuekwa rumande Ina maana kuna ushahidi tosha dhidi yako.

Na ndio maana mtu unaeza ukawa suspected of a crime ukaitwa polisi ukahojiwa (bila kutangazwa unless ukimbie) ukionekana kwamba ur innocence unakua cleared wanatafutwa suspects wengine.

Sasa hapa mi naona tactic ya kuita watu IJUMAA CENTRAL ni mbovu na inapoteza credibility ya hii kitu mzima.

Kama ni shutuma hata makonda na yeye anazo akitangazwa kwenye press conference unafikiri hili jiji atakaa kweli au hata uko kwao unafkiri atathubutu kuenda.

Yangu macho
 
Inamuuma sana konda kutokumlaza mbowe polisi leo ijumaa, na hatapata nafasi hiyo tena.

Alitaka magu amuone yeye ni kiboko ya wapinzani, matokeo yake ameonekana yeye ndio ana roho mbaya na anataka kuivuruga nchi.

Na sina shaka magu ameanza kuhisi alikosea katika uteuzi wake , na hatarudia kumsifu mtu hadharani kabla ya kumpa cheo.
 
kila jiwe litarushwa.
Hayo marinda alikuwa anamaanisha ya humu Jf or else?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom