johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,106
Mkenya Jonathan Ogolla amewaomba Watanzania wawe wanafuatilia Usaili wa Mawaziri wa Kenya na Viongozi wengine wanaoteuliwa na Rais na kuthibitishwa na Bunge
Ogolla anasema kila Msailiwa hutakuwa kuelezea Utajiri wake kwa mujibu wa Sheria na hapo ndio Utajua Kenya hakuna Kiongozi maskini na Ukiwa maskini Wananchi hawakuhitaji
Ogolla ameshangaa Watanzania kumtolea macho Rais mwenye tudollar milioni 42 tu na kusema Kenya hicho ni kichekesho
Ogolla ni mwanaharakati wa Tabia Nchi
Mlale Unono 😀
Ogolla anasema kila Msailiwa hutakuwa kuelezea Utajiri wake kwa mujibu wa Sheria na hapo ndio Utajua Kenya hakuna Kiongozi maskini na Ukiwa maskini Wananchi hawakuhitaji
Ogolla ameshangaa Watanzania kumtolea macho Rais mwenye tudollar milioni 42 tu na kusema Kenya hicho ni kichekesho
Ogolla ni mwanaharakati wa Tabia Nchi
Mlale Unono 😀