John Mnyika

Kamanda JJ Mnyika yuko Arusha Mahakama ya Africa Mashariki na John Mallya wakifungua kesi dhidi ya serikali kwa ubinywaji wa demokrasia nchini. Au unasemaje we kiraza?
Tuwe wote mpaka 2020 usije kimbia huu uzi
 
Siku akipewa uwenyekiti wa chama.

Mada kuu itakuwa UKIMYA WAKE UMEZAA UONGOZI.
 
Kamanda JJ Mnyika yuko Arusha Mahakama ya Africa Mashariki na John Mallya wakifungua kesi dhidi ya serikali kwa ubinywaji wa demokrasia nchini. Au unasemaje we kiraza?

Kesi ya ICC kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais wa Magufuli imefikia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…