John Magufuli Utotoni

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
[h=3]
[/h]
Cheki hatua alizokulia Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, ni mtoto wa mkulima, ni maisha ya kawaida, ndio maana anazijua shida za Watanzania, Mpe Kura yako John Pombe Joseph Magufuli.

Na Mr Chin
 
[h=3]
[/h]
Cheki hatua alizokulia Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, ni mtoto wa mkulima, ni maisha ya kawaida, ndio maana anazijua shida za Watanzania, Mpe Kura yako John Pombe Joseph Magufuli.

Na Mr Chin

Kwahiyo kuwa mchafu ndio sababu tosha ya kujua kuwa unajua matatizo ya walalahoi na kufaa kuwa mtawala wao? Hahahahahahahahaaaa ni shidaaaaaaaaa
 



Cheki hatua alizokulia Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, ni mtoto wa mkulima, ni maisha ya kawaida, ndio maana anazijua shida za Watanzania, Mpe Kura yako John Pombe Joseph Magufuli.

Na Mr Chin
Wa Tanzania mmelogwa nani alisema umaskini ni sifa ya uraisi? we want some one who think big.
 
[h=3]
[/h]
Cheki hatua alizokulia Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, ni mtoto wa mkulima, ni maisha ya kawaida, ndio maana anazijua shida za Watanzania, Mpe Kura yako John Pombe Joseph Magufuli.

Na Mr Chin

Mpe Wewe Na Hawala Wako, SISI WAZALENDO WA TAIFA HL KURA ZOTE KWA LOWASA, KWISHINEY, Maana Hakuna Namna Nyingine
 
Kwahiyo kuwa mchafu ndio sababu tosha ya kujua kuwa unajua matatizo ya walalahoi na kufaa kuwa mtawala wao? Hahahahahahahahaaaa ni shidaaaaaaaaa

Huyu ni mwenzetu na sisi kabisa, yaani anaonesha kabisa ktk sura na muonekano wake na wa hao mababi kuwa walikiwa wanaishi maisha ya kawaida kabisa, NILIIONA PIA ya wakati akiwa kijana, kapiga SUTI fulani, nadhani 'aliiazima', ilikuwa haijamkaa vizuri, suti ilikuwa imemvaa.
Huyu atakuwa rais ambaye ni miongoni mwetu.
 
So what?
Kila mtu alikuwa mtoto na hatutarajii alishushwa mtu mzima
 
Mpe Wewe Na Hawala Wako, SISI WAZALENDO WA TAIFA HL KURA ZOTE KWA LOWASA, KWISHINEY, Maana Hakuna Namna Nyingine
Kama ungekuwa mzalendo ukijua kila mtanzania anauamzi na uhuru wake usingeandika hayo, wewe ni mkimbizi rudi kwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…