Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) John Luhende, ameibuka mshindi wa kura za maoni za kuwania ubunge wa Jimbo la Bukene mkoani Tabora, baada ya kuzoa kura 6,274 na kuwaacha kwa mbali wapinzani wake akiwemo Mbunge aliyemaliza muda wake Selemani Jumanne Zedi, ambaye amekuwa wa tatu kwa kupata kura 828.
Aliyeshika nafasi ya pili Henerico Kanoga amepata kura 977, nafasi ya nne imechukuliwa na Semi Lutonja aliyepata kura 117.
Aliyeshika nafasi ya pili Henerico Kanoga amepata kura 977, nafasi ya nne imechukuliwa na Semi Lutonja aliyepata kura 117.