John Heche jiandae kuongoza CHADEMA

John Heche jiandae kuongoza CHADEMA

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,957
Wanafamilia wa JF.
Ni wazi Freeman Mbowe amepoteza uhalali wa kuongoza Chadema kwa kuzingatia ukweli kuwa muda wake wa Uongozi umeisha kitambo japo hataki kuondoka madarakani.
Huu ni wakati muafaka kwa WanaChadema kumuondoa madarakani kwa njia zote iwe za kidemokrasia au kwa kufanya Mapinduzi ndani ya. Chama.
Kwa upande Mwingine naamini Mhesh John Heche anastahili kushika nafasi ya Kuongoza Chadema badala ya Mbowe.
Anazo sifa zote stahiki kama ifuatavyo:
1. Utii kwa Chama.
2. Uzalendo mkubwa kwa Chama chake na Taifa lake.
3. Ujasiri
4. Maono
5. Uadilifu.
6. Ushirikiano mkubwa kwa WanaChadema wote pamoja na VIONGOZI.
7. Anachukia rushwa kwa Vitendo.
8. Hana Upendeleo
9. Analindwa na Jiografia.
10. Muadilifu.
11. Uwezo mkubwa wa kufanya maamuzi.
12. Uwezo mkubwa wa kuwaunganisha wanaChadema.
Nimshauri Mhesh Heche asihofu kuvaa viatu vya Mbowe hata kidogo.
John Heche Mwenyekiti mtarajiwa wa Chadema.
But I hope your a little bit more smarter John Heche than your predecessors!
 

Attachments

  • hechepic.jpg
    hechepic.jpg
    24.7 KB · Views: 17
Hayo Ni maoni yako!

Acha tuwasubir wenye Chama chao
 
Katiba inasemaje haimpi kipindi kingine kugombea huyo MBOWE
 
Mambo yote yanaratibiwa na chama na kufanyiwa maamuzi na wanachama wenyewe katika mikutano mbalimbali, , hakuna kitakachoharibika,
 
Ccm mnapata tabu Sana, badala ya kuangalia yenu kwanini watanzania wamewachoka mmeng'ang'ana na ya chadema, Wanachadema wenyewe ndo wanaomuhitaji Mbowe aendelee kudumu ktk kile kiti wanasema anatosha, chakushangaza wasiomtaka Mbowe awe mwenyekiti chadema Ni ccm....mnataka wamuweke masikini mumnunue
 
Wewe umwanachadema?
Tunayoyafanya Chadema yangefanywa na CCM tungepiga kelele zifike hadi sayari ya Mars. Tunapenda sana kukosoa mapungufu ya wenzetu lakini tukikosolewa sisi inakuwa Nongwa. Tuache kuishi kinafki
 
Back
Top Bottom