Namfahamu Philip Mpango vizuri. Naamini atafanya kazi nzuri. Ni mtu makini na ni mtendaji mzuri.
Can't we talk about the institution kwa nini kila siku mtu mtu tu!!!
Kwani hii tume si imekuwepo siku nyingi tu. Mi nadhani wanabadilisha badilisha majina leo inaitwa wizara akija president mwinine anaita tume.
Binafsi nadhani imefika wakati tuwe na set up ya wizara na idara ya kudumu. sio kila anayeingia anacheza na kubadilisha anavyojisikia. huyu anaongeza huyu anapunguza.
Tatizo kama la mgao wa umeme linaonesha kuwa hatuna mipango mizuri. hatufanyi detailed analysis ya priorities.
Can't we talk about the institution kwa nini kila siku mtu mtu tu!!!
Ndugu, Hatukuwa na Tume ya Mipango. Tulikuwa na wizara ya mipango. si kweli kwamba Tume ya Mipango ilikuwepo before.
Mkuu institution haijiongozi yenyewe; inaongozwa na watu, na ni vema kuwa na watu ambao ni qualified kuifanya hiyo kazi vizuri. Ni imani yangu kwamba wazo la kuangalia CV zao ni zuri ..... ninaamini hata JK aliangalia CV zao kabla ya kuwateua.
Binafsi tatizo mablo naliona ni Huu mfumo unakuta top decision post zote ni nafaszi za kuteuliwa. tena kuteuliwa bila kuomba kazi. This is wrong. Look kwenye wizara waziri( Anateuliwa) katibu Mkuu ( Anateuliwa) Wakurugenzi wa idara( wanateuliwa) atleast katibu au wakurugenzi wangekuwa wanaomba kazi.
katika mazingira hayo hata kama mtu ana CV nzuri kiasi gani hakuna efficiency ya utendaji.
kazi unayozawadiwa tu. na kazi unayozawadiwa baada ya kuomba na kufanyiwa usaili zina tofauti.
Dr Mpango alikuwa chuo Kikuu Dar anafundisha Economics and research bureau ya chuo kikuu Dar hivyo ni mtu safi kabisa