Mkuu wa Mkoa anastahili kuwa mtu wa kwanza kuwajibika pale ambapo wilaya zake hazifanyi vizuri maana yeye yupo pale kuhakikisha utendaji wao ni mzuri, vinginevyo ana haki ya kumtaarifu Rais ambaye ndiye kutoridhishwa na utendaji wao na yeye kuamua kuwaondoa madarakani.
Mrema alipokuwa Mambo ya nje alifanya kampeni za kusafisha na kupendezesha jiji la Dar ambazo wananchi walizifurahia na kuziunga mkono maana Mkuu wa Mkoa wa wakati huo alikuwa amezembea. Na kweli kulikuwa na mabadiliko ya kutia moyo katika wilaya zote tatu.
Kama Rais wa nchi kaweza kulizungumza hili, basi Mkuu wa Mkoa angeweza kabisa kulifuatilia.
Kikwete disappointed by Dar City fathers
``So, I call upon municipalities to ensure that the city is maintained to boost tourism in the country,`` he said, adding that in most cases foreign tourists did not visit it but rather treated it as a transit point.
For instance, he said most tourists preferred to visit Zanzibar and the northern tourist circuit of Arusha and Kilimanjaro regions.
President Kikwete urged city fathers to wake up and restore the beauty of Dar es Salaam, making both local and foreign tourists enjoy their stay in the same.
He however cited Coco Beach along the Indian Ocean coast as a very beautiful place, adding that it had been abandoned by the city authorities.
`
Mkuu wa Mkoa anastahili kuwa mtu wa kwanza kuwajibika pale ambapo wilaya zake hazifanyi vizuri maana yeye yupo pale kuhakikisha utendaji wao ni mzuri, vinginevyo ana haki ya kumtaarifu Rais ambaye ndiye kutoridhishwa na utendaji wao na yeye kuamua kuwaondoa madarakani.
Bado sioni umuhimu wa Mkuu wa Mkoa katika masuala ambayo yapo chini ya uwezo wa Jiji.
I don't get it, whoever has prepared this speech was not serious. My take is that source of all these problems is the Ministry of Lands and Urban Planning. Jamani, Look at all open areas including beach plots where by the Land Laws (1998) has made it very clear about beaches but the very governments has embraced and blessed wabaka uchumi to encroach these beaches as a result the only place to go for a pleasure is coco beach the rest of the beaches are privately owned (ingawa ni kinyume cha sheria).
Mipango na sera za miji haziko wazi, a lot of ujanja ujanja. Genuine investors normally tend to shy away from dealing with unprofessional civil servants who normally believe in bahasha and not the quality to be rendered by the investor.
Mr. President, problem has been inherited from Awamu ya 3, It is crystal clear that your government needs to start rectifying these problems from top downward and not otherwise. The three municipals have a lot of problems but the place to start with is a ministry of lands and urban planning.
I beg to disagree.
I don't get it, whoever has prepared this speech was not serious. My take is that source of all these problems is the Ministry of Lands and Urban Planning. Jamani, Look at all open areas including beach plots where by the Land Laws (1998) has made it very clear about beaches but the very governments has embraced and blessed wabaka uchumi to encroach these beaches as a result the only place to go for a pleasure is coco beach the rest of the beaches are privately owned (ingawa ni kinyume cha sheria).
Mipango na sera za miji haziko wazi, a lot of ujanja ujanja. Genuine investors normally tend to shy away from dealing with unprofessional civil servants who normally believe in bahasha and not the quality to be rendered by the investor.
Mr. President, problem has been inherited from Awamu ya 3, It is crystal clear that your government needs to start rectifying these problems from top downward and not otherwise. The three municipals have a lot of problems but the place to start with is a ministry of lands and urban planning.
I beg to disagree.
Nakumbuka kama miaka mitano hivi iliyopita kuwasikia kundi la vijana fulani wa kizungu waliokuwa wamefika Dar International Airport (kama ilivyojulikana) wakisema kuwa Dar ilionekana kama vile ilikuwa imekumbwa na Operation Desert Storm (ile vita ya kwanza ya Marekani dhidi ya Iraq ya Sadaam Hussein). Kweli nilipoangalia maeneo ya Buguruni tulipokuwa tukipita niliweza kuona mantiki ya kilichokuwa kikiongelewa. Tatizo la miji ya Tanzania ni kwamba watu kwanza wanaruhusiwa kufanya ujenzi na mambo mengine kiholela bila mipango halafu Serikali inatoka nyuma na kubariki au kubomoa. Kwa mtindo huu hatuwezi hata siku moja kurekebisha hali hii. Hivi hao wataalamu wetu wa mipango miji huwa wamasoma vyuo gani? Wanafundishwa kupanga au kuvuruga?