JK Kanyaga twende, ukombozi wa watanzania u mikononi mwako!

Nakumbuka sana mjadala ule na tofauti za kimitazamo; it was a healthy thing anyway.

Mkuu Waberyo, hata mimi nakumbuka tulikorofishana sana humu kimtazamo tu lakini kitendo cha mimi kwenda kwenye friji kuibua hii THREAD yako yenye hoja nzito kwa ustawi wa familia zetu ni kielelezo tosha kwamba I had nothing personal.

Mapenda baadhi ya ideas zako sana tu kama hii hivi sasa lakini haina maana kwa siku za usoni hatutokaa tutofautiane tena.

Duh!Engineer is back.

Ndugu Waberoya,samahani tulikwaruzana kidogo huko nyuma kwenye misimamo flani.Tafadhali dont take it personal.Rudi jamvini tukate issue,hoja kwa hoja.
 
Mnaofahamu uchumi na kushuka na taarifa kuwa bei zinapanda mnisaidie hapa. Iwapo bei bei ya chipsi mayai (zege) toka 1995 mpaka 2005 ilikuwa TZS 500. Aliyesababisha ibaki bei hiyo ni kuwa tulikuwa nje ya uchumi wa dunia au ni kipi? Sukari kupanda toka TZS 400 (1995) mpaka TZS 700(2005)tulikuwa wapi(my own memory)? Kupanda toka TZS 700 (2005) mpaka TZS 2,100 (2011) kunamaanisha ndio tumeingia kwenye uchumi wa dunia.Topical et al shuka na data na reference za kweli ili uzi wako usieleweke maana umenesha bei zinapanda lakini huoneshi kwa kiwango kipi na reference yako ni ipi
 
Duh!Engineer is back.Ndugu Waberoya,samahani tulikwaruzana kidogo huko nyuma kwenye misimamo flani.Tafadhali dont take it personal.Rudi jamvini tukate issue,hoja kwa hoja.

Nakumbuka sana mjadala ule na tofauti za kimitazamo; it was a healthy thing anyway.

Mkuu Waberyo, hata mimi nakumbuka tulikorofishana sana humu kimtazamo tu lakini kitendo cha mimi kwenda kwenye friji kuibua hii THREAD yako yenye hoja nzito kwa ustawi wa familia zetu ni kielelezo tosha kwamba I had nothing personal.

Mapenda baadhi ya ideas zako sana tu kama hii hivi sasa lakini haina maana kwa siku za usoni hatutokaa tutofautiane tena.


Sisi ndugu jamani..sijawahi kuchukua vitu personal, we all need that land of honey and milk..this is the land of our mothers and fathers anayekuwa anatetea ufisadi ni muuaji wa vizazi vijavyo ambavyo havitaringia kuwa hili ni taifa lao.Katika kulijenga taifa tunaweza kutofautiana mawazo lakini we might all be right because creation and construction of something is purely an art...the logic and fundamentals should always lead us.

Kumbuka Jmushi mlinikaribisha humu miaka hiyo...

Storm is over guys I am in..
 
Mnaofahamu uchumi na kushuka na taarifa kuwa bei zinapanda mnisaidie hapa. Iwapo bei bei ya chipsi mayai (zege) toka 1995 mpaka 2005 ilikuwa TZS 500. Aliyesababisha ibaki bei hiyo ni kuwa tulikuwa nje ya uchumi wa dunia au ni kipi? Sukari kupanda toka TZS 400 (1995) mpaka TZS 700(2005)tulikuwa wapi(my own memory)? Kupanda toka TZS 700 (2005) mpaka TZS 2,100 (2011) kunamaanisha ndio tumeingia kwenye uchumi wa dunia.Topical et al shuka na data na reference za kweli ili uzi wako usieleweke maana umenesha bei zinapanda lakini huoneshi kwa kiwango kipi na reference yako ni ipi

Kuhusu bei ya viazi na mayai, hiyo ni local trend, ila vitu kama sukari, nakushauri uanbgalie chart hapo chini.

chart
 
Mnaofahamu uchumi na kushuka na taarifa kuwa bei zinapanda mnisaidie hapa. Iwapo bei bei ya chipsi mayai (zege) toka 1995 mpaka 2005 ilikuwa TZS 500. Aliyesababisha ibaki bei hiyo ni kuwa tulikuwa nje ya uchumi wa dunia au ni kipi? Sukari kupanda toka TZS 400 (1995) mpaka TZS 700(2005)tulikuwa wapi(my own memory)? Kupanda toka TZS 700 (2005) mpaka TZS 2,100 (2011) kunamaanisha ndio tumeingia kwenye uchumi wa dunia.Topical et al shuka na data na reference za kweli ili uzi wako usieleweke maana umenesha bei zinapanda lakini huoneshi kwa kiwango kipi na reference yako ni ipi

[h=2]FAO Cereal Price Index
June 2008[/h]
foodprices.gif


"A United Nations international year once
Mkuu hiyo hapo juu ni mwenendo wa bei za nafaka duniani, wameinclude na viazi na ni reflection nzuri ya bei za vyakula, courtesy of FAO.
 
Back
Top Bottom