Kwa iliyokuwa ccm,lakini siyo ccm hii ya sasa.Nominee wa ccm 2015,siyo lazima aje kuwa Rais.Chukulia kwa mfano anayeandaliwa mazingira haya ni Mwinyi.Je huko ccm hao wazee wanaotaka kuondolewa kwa zengwe,watakubali kumpisha na kum support?chadema au chama kingine kikipitisha mgombea 'nguli',Mwinyi ana ubavu wa kusimama nae?
Yaliyotokea Kenya(KANU) ndiyo yatakayotokea Tannzania(ccm) mwaka 2015!