JK: Hatutaki Rais mzee 2015

Zito anaandamwa kwasababu ameshagundulika ni mnafiki, mbinafsi na hawezi urais anaouta usiku na mchana. Iko elewa sasa dugu?
 


Naona kabisa El akitolewa kwa zengwe na kupeleka nguvu yake ya kiitelejensia, kifedha na kimtandao wake wa kimafia ikiwa hata kichini chini kambi ya upinzani huku akina Sitta na wenzake wakizila kumpigia kampeni mgombea mteule wa Rais Kikwete..huyo atapata shida kushinda lazima tuweke mseto 2015..sioni vinginevyo hawa vilaza wa kikwete akina Mwinyi, Nahodha, Migiro, Membe nk kushinda
 
na wewe akili zako vipi? ameshaona kwamba watu wa umri wake sio ''digital'' hawawezi, kwa hiyo anatumia mamlaka yake kama reisi kutoa huo ushauri na ni sahihi ausimamie kama raisi, sije akapenyeza mtu wa miaka ya ''1947''
 

Hivi hujaelewa kichwa cha habari ? na kwanini MAkamba anataka watoto waruhusiwe ? si anajitayarishia mazingira mazuri ya kupigiwa kura akijua labda yeye ndio atakua mgombea ! CCm juu MAkamba juuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…