Kwa nn tapendelea wastaafu.Kwani hamna wengine ambao bado wanaweza kuja na vitu vipya badala ya kuendeleza vicious circle ?
CCM waondoke madarakani hii si nchi yao wala wao sio wenye hati miliki,mijitu imeshafanya kazi tokea tupate uhuru bado imeng'ang'ani ,maana yake ni nini ?
Watu kibao wamemaliza Chuo kikuu na vyuo vyingine vya nchi za nje lakini hawapewi uongozi hata wa ualimu mkuu maana yake ni nini na badala yake tunaona zile zile sura za kufa zikikabidhiwa mikoba ,hivi kuna kosa gani ikiwa vizazi vipya vitakabidhiwa mamlaka na hizo sura za kufa kuwa washauri tu pale panapohitajika ushauri.
CCM mtaondoka tu mkitaka msitake.
bongo kweli kazi.
sasa kusiwe na umri wa kustaafu utumishi wa uma basi.
Pia amefanya uteuzi wa wajumbe wa bodi mbalimbali za mashirika/makampuni ya umma - wamo Abdallah Kigoda na Maria Kejo (Tazama orodha kamili kwenye The Guardian)
Kustaafu ni heshima kubwa kwa mtumishi yeyote hasa wa UMMA.Hivi wajameni,
Mwataka kuniambia wazee hawatakiwi kabisa kwenye utawala wa taifa letu... mtu kama jaji mkuu mstaafu... kichwa bado kinafanya kazi... lakini pamoja na hayo... hiyo kazi ya mkuu wa chuo... sio nzito kiasi kwamba hawezi... kwani sio kazi ya kupiga matofali ya block.
Mtu kama jaji mkuu, mkuu wa majeshi etc... they have to have things to do to keep them busy...
Alafu waheshimiwa, kwa mtu aliyetunzwa vizuri na kuishi vizuri kama jaji mkuu, bado anatakiwa atumikie taifa.