Jirani ananipa shidaa (2016)

Mkuu pole sana. Ndo walivo hao
umenikumbusha jamaa mmoja anaitwa BABITO ( certified Wahasibu wanamjua)..alikua anapendelea kusema hako kamsemo..ndo walivyyoooo
 
mpe sura hii asubuhi....
 

Attachments

  • 10406816_1458730650868225_6246097989011637934_n.jpg
    22.2 KB · Views: 24
Nadhani umeshaamka na mmeshaonana. Hebu tupe mrejesho!
 
Pole mleta mada, inaonekana unakaa uswazi sana ndiko mambo hayo yamebaki, maana hizo sauti aisee huwezi kulala.

Usikute alikusikia wakati unaingia na alikufanyia makusudi tu na huenda hakuwa na mwaname
 
Wewe usimwambie wala nin

Mpe namba zangu tu nikusaidie
 
Mrejesho mkuu...
Nadhani umeshaamka na mmeshaonana. Hebu tupe mrejesho!
Nimeonana nae leo mishale ya sa2 akanisalimia vp neighbor za mwaka mpya..nikamjibu safi 2 vp ww mrembo. yy akasema anashukuru ni bomba na ameingia kwa kishindo sasa sijui kishindo gani labda moto aliokua akipelekewa na basha wake mzee..
watoto wa mjini bwana,
 
usijali leo itakuwa zamu yako...
 
Pole mleta mada, inaonekana unakaa uswazi sana ndiko mambo hayo yamebaki, maana hizo sauti aisee huwezi kulala.

Usikute alikusikia wakati unaingia na alikufanyia makusudi tu na huenda hakuwa na mwaname
Sikai uswazi" mkuu..
alikua na mwanamme kipande cha mtu nahisi kinafamilia maana asubuh nje nikiwa na hangover zng nilimsikia akisalimia watt wake kwa phone na kuwatakia heri ya mwaka mpya then akaingia ndani kuendelea na shuguli adi leo ndio kachimba" najitahdi nijue ratiba zke'
 
Last edited:
kuwa mpole kaka,, ikifika zamu yako na wewe ubutue
 
Kazi kwelikweli mwaka ndo kwanza una siku mbili tu tyari mshaanza kuleta lawma
 

Mkuu @BansenBurner , dont waste your words on people who deserve your silence. Sometimes the most powerful thing you can say is nothing at all.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…