Jipatie Nissan X Trail SUV kwa bei chee

Jipatie Nissan X Trail SUV kwa bei chee

Heci

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
3,762
Reaction score
6,591
Nissan Extrail inauzwa bei nzuri 12 ml tu.
Gari haijapata ajali, na imetumika kidogo tu, kuania imenunuliwa nilikua masomoni nje ya nchi
kuiona piga simu namba 0715803040 au 0767454455
IMG-20160926-WA0144 (1).jpg
IMG-20160926-WA0146.jpg
IMG-20160926-WA0147.jpg
IMG-20160926-WA0149.jpg
IMG-20160926-WA0149.jpg
 
Boss watu huwaga wana asume Dar ndio kila kitu yaani JF ipo Dar hii geri ingekua mkoani angetaja. Lakini fanya asumption ipo Dar.

Wengi tunafanya asumption tu wadada na wakaka wa Dar tu ndio wanaperuz JF
Hahaha,Oyaa,tutake radhi sie wa MKOANI
Lakini kweli,maana mtu akikuambia nauza gari halafu yupo Ruvuma,duhh yaani hata kusoma tangazo huendelei.
Inabidi wa mikoani nao wakitaka kuuza gari inabidi walilete Dar ili litoke fasta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom