peter kasanga
Member
- Jun 1, 2017
- 49
- 9
pata kitabu cha siri za kutajirika na biashara soft copy shilingi 3000 hard copy 6000, mawasiliano 0744951631 soma kava hapo chinj kwa maelezo zaid
Aliekiandika ni billionaire namba ngapi?pata kitabu cha siri za kutajirika na biashara soft copy shilingi 3000 hard copy 6000, mawasiliano 0744951631 soma kava hapo chinj kwa maelezo zaid View attachment 906559
Hata mm nasubiria jibuSasa mleta mada wewe hicho kitabu umeshasoma na kama umeshasoma je umeshatajirika?.
Mkuu yeye mwenyewe anajua kuwa hawezi kutajirika kwa kusoma hicho kitabu bali kwa kukiuzaungetuonjesha yaliyomo kiundani maana inawezekana uliyoyaandika sisi tumeyasoma kipindi cha mzee ruksa
Usiwe na haraka ya kutajirika kwa kuuza hiyo soft copy yako kwanza ungetulia ukatoa maelezo yanayoeleweka
Sijui alikuwa wapi siku zote!eti forexKwa mada kama hiyo siwez soma kitabu kilicho andikwa kwa kiswahili hata kama mtunzi awe nani ...naisi kama nakuwa nasoma matusi ivi,au najitukana mwenyewe
Ni aina flani ya kokoto za kujengea nyunba,zinapatikana zaidi mkuranga mkuu.Forex nini?naonaga naisikia tu ufafanuzi tafadhali



