DuhNi bland ipu? Tupe dimensions zake i.e urefu upana nk.
Ujazo tafadhali ni Lita ngapiNdio hujakosea brand ni SUPER GENERAL
Kwa ujazo huo haliwezi kuwa being hiyo ,Lita 544 ni shiling 1.149900/=milioni likiwa jipya.so kwa bei tajwa lazima liwe zaid ya Lita 550Mkuu sijawa na uhakika kuhusu ujazo wake,ila ni kuanzia 350L kwenda juu
Kwenye manual wameandika anglia front page .ktk Maelezo ya installation,electric supply and whatever some where wamesema .,utakuta wameandika kama ni Lita miatatu na hamsini unazosema wataandika 350M.Uko sawa mkuu maana najarbu kupitia user manual yake hawaja specify ujazo wake
Najarbu kuangalia lkn hawajaandika mkuuKwenye manual wameandika anglia front page .ktk Maelezo ya installation,electric supply and whatever some where wamesema .,utakuta wameandika kama ni Lita miatatu na hamsini unazosema wataandika 350M.
Angalia stika wanayobandika pembeni ya freezer nadhani ubavuniNajarbu kuangalia lkn hawajaandika mkuu