AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,666
- 2,840
Wakuu habari, ni hivi nimebahatika kurudia kama mara mbili hivi mtihani wa kidato cha nne kwa karibu masomo yote 7, matokeo ya awali nilikuwa na ufaulu hafifu ambao binafsi sikupendezwa nao niliporudia mara ya pili japo sikufanikiwa sana lakini nilipata angalau matokeo bora kwa baadhi ya masomo.
Sasa naomba kujua, je kuna utaratibu wa kuunganisha vyeti, yani kile cha kwanza na hiki cha pili, utaratibu huo unakuaje na inachukua muda gani na gharama kiasi gani?
Na je, kwa mfano kwenye matokeo ya awali mtu akapata labda alama D kwenye biology, then now akarudia akapata hiyo hiyo D, Je katika kuunganisha cheti hiyo ni itabeupgrade na kuwa C au inakuaje kuaje.
Tafadhali mwenye kujua na wahusika mnijuze.
Sasa naomba kujua, je kuna utaratibu wa kuunganisha vyeti, yani kile cha kwanza na hiki cha pili, utaratibu huo unakuaje na inachukua muda gani na gharama kiasi gani?
Na je, kwa mfano kwenye matokeo ya awali mtu akapata labda alama D kwenye biology, then now akarudia akapata hiyo hiyo D, Je katika kuunganisha cheti hiyo ni itabeupgrade na kuwa C au inakuaje kuaje.
Tafadhali mwenye kujua na wahusika mnijuze.