jinsi ya kutumia internet bure

jinsi ya kutumia internet bure

lil ifect

Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
8
Reaction score
1
Wakuu naombeni msaada wenu jinsi ya kutumia internet bure simu yangu tecno
 
subiri saa sita usiku airtel ni bure mpaka 12 asubuhi.
 
Kwa sh 500 unapata zaidi ya mb 100 na kwa matumizi ya ku-browse tu kwenye simu zinatosha na kubaki. Kama unataka ku-download tumia wajanja night offer ya vodacom kwa sh 500 unapata GB 1 saa 4 usiku hadi saa 12 asubuhi. Usipende sana bure
 
Yah!kama tigo wana huduma yao ya bure mwaka mzima.
Piga
*101*0713089189*5000#
ila lazima cm iwe na salio liclopungua 5000,
 
Umewezaje kununua simu ushindwe kununua vocha?
 
hakuna package ya bure ..mkuu labda urekebishe kauli kwa kusema internet ya bei nafuu badala ya internet ya bure
 
Jf bana, stress zote za kutwa ya leo kwisha kwa kusoma comments za watu kwenye uzi huu!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Yah!kama tigo wana huduma yao ya bure mwaka mzima.
Piga
*101*0713089189*5000#
ila lazima cm iwe na salio liclopungua 5000,

Duh! bure halafu tena simu iwe na salio lisilopungua 5000. Hii chiboko.
 
Back
Top Bottom