Jinsi ya kupika makande

Sitosahau makande ya primary (Mahindi + Beans) tunachanganya na blueband ni balaa likiwa la motomoto halafu liwe rojo kiasi siyo kavu sana.

Nadhani ungesema makande ya mchanganyiko gani ndo njau.

Kuna.
1-Mahindi + Beans.
2-Mahindi+Karanga (zilizosagwa)
3-Mahindi+Njugumawe
4-Mahindi+Dengu etc

Siku ukila "mchembe" au "mbute" ndiyo utakufuru kabisa!
 
Yaani hiki chakula tuseme tu jamani, tulio wengi tunakilia shida.

Halafu dada/mama zetu, hivi mkipika, ni lazima mpike mengi? Yaani tuyale mchana, tuyale jioni na kesho tuyanywee chai duuh

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ loh!

Miongoni mwa vyakula navyopenda ni kande...basi tu sijapata mtu wa kunipikia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…